Inawezekana kukawa na matukio mengi ya unyanyasaji huko Zanzibar ila ilikuwa ngumu kujua kutokana na kutokuwepo na mitandao ya kijamii wakati huo. Sasa mitandao ya kijamii inaanika na kuweka ukweli hadharani ili kurekebisha tabia za ubagudhi. Tutajua mengi yaliyojificha.
Uongozi wa Selikari ya Zanzibar unatakiwa uangalie Kwa makini jambo hili, maana laweza kuleta matatizo baadae. Tabia hupandwa na kukuwa Kwa kiwango Cha ajabu maana wataona hawakemewi na kujiona wako sahihi. Mwisho wa siku, itakujatokea siku ya ijumaa watu wakavamiwa kwa Nini wanatembea mitaani...
Nimesoma Tosamaganga miaka sita yaani kutoka kidato Cha kwanza mpaka Cha sita sijawahi sikia hilo. Na tulikuwa tunauguzana yaani classmate wako akiumwa tunapeana zamu alafu full kuzurula USIKU magengeni, ila sijawahi sikia ama kuona hili usemalo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoa mada toa fact za...
USIKU jibu ni MCHANA. Pia kunausemi mwingine " KWEUSI jibu: KWEUPE". "KWEUPE Jibu: KWEUPE". Hayo yote yana maana kujua kama wote ni watu salama. Ingawa vijijini ndio maneno hayo yanatumika sana.
Duuu! Walisema wafanyakazi hawataondolewa, na wataendelea na kazi, hivyo HAKI zao kulindwa. Sasa vipi tena? [emoji134][emoji54][emoji134][emoji54][emoji134][emoji54]
Kimsingi jambo lilofanyika la kumpitisha Naibu PM kwenye Barbara iliyo na waandamanaji ni kosa kubwa sana. Maana walihatalisha usalama wa kiongozi husika. Hili jambo kama walipanga kufanya hivyo basi kamati ya usalama wa mkoa wajitafakari sana.
Hivyo, Kwa ushauri siku nyingine wanapo panga...
Yaani mtu badala atumie NGUVU alizo nazo kujitafutia kipato, anawaza Imani za wengine. Kwa ujumla aliyefanya hivyo ukute ni masikini tu, anatumwa Kwa mihemko ya kidini. Hapo sawa na kuinyooshea kidole familia ya mtu mwingine kwamba Kwanini wanakula ugali badala ya wali.
Anyway, Kanisa katoliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.