DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na hapo umeona kumuita single mother umemtusi. Haujui watu wengi wenye mafanikio wamelelewa na kukuzwa na single mothers.

Nyinyi ma dead beat dads mnaishia kuwa losers ambao sifa pekee mliokuwa nayo ni kuwa mlizaliwa wanaume.

Hiki ni kikao cha wote sio wanaume peke yao. Nenda kawa bully wengine lakini sio humu, you misogynist fool.

Amandla...

Wachana nae huyo, he’s on the hunt.

Anatafuta Bwana.
 
Na hapa ndipo unapokosea.

Ufahamu wako umevipa thamani vitu (pesa + mali) na sio utu, kwa mentality hii husitegemee utulivu kwenye Ndoa.

Kuwindana will be your way of life, wewe na huyo mwenzio na atakae muwahi mwenzie (Case ya DM na mkewe hapa) ndio mjanja.

Uzuri wa mbio za sakafuni huishia ukingoni.

Inakuwaje binaadam wa sasa mnaona wenza wenu ni kama maadui zenu?

Mwana Ndoa unakaa ndoani huku mwenza humuamini hata ukucha, mnaishi kwa kuviziana na kuoteana Kama vibaka ndani ya Ndoa?

Unamzalisha na kumpa jukumu la malezi ya kizazi chako mwanamke ambae kutwa unamnanga na kuona hatoshi kuwa binaadam Kama wewe Kisa tu ni jinsia Ke?

Umewaza matokeo ya kizazi chako kitakachotokana na huyo mwanamke?

Bado tunashangaa kwanini jamii inaenda mrama?!

Kila kukicha unajaza negativity tu kuhusu wenza kwenye Ndoa na ubaya wa Ndoa, positivity na uzuri wa Ndoa vitavutwaje kuwafikia?!

Mwisho wa siku Maisha na Uhai wako hapa duniani na baadae ndani ya Ardhi, ni wewe mwenyewe unaamua yaweje, hakuna miujiza wala maajabu yatafanyika zaidi yako wewe.

We create our future through what we do and believe today, what we do and who we are today is a product of our actions and choices of Yesterday.

We create our own Hell and Heaven.


Na wala hakuna nafuu kati ya Mwanamke wa sasa na Mwanaume wa sasa, they are all cut from the same cloth. Ngoma itaendelea kunoga.
Bado haujapitia shida kama hauoni umuhimu wa hela. Utu unatumika kama kigezo cha kuwakamua na kuwatawala masikini. Sijaweka negativity kwenye ndoa nimesema ndoa unachagua wewe mwenyewe.Tajiri hana muda wa kumnanga mke. Narudia tena kwa mara ya tatu "Hakuna mtu mwenye hela anaeweza kuvumilia shida". Wewe kama unataka kuishi kama kwenye movie tafuta masikini mwenzako. Mlishane ugali bamia kwenye mkeka. Lakini unataka uwe na mume tajiri, akununulie gari na kukuhudumia kubali kujishusha. Wanawake wenzako wanaona kabisa huyu jamaa ana mke na anaweza kumhudumia mke halafu na wewe unaleta kiburi. Hakuna mwanaume tajiri wa kwako peke yako. Kama mwanamke mzuri anavyotongozwa kila kukicha vivyo hivyo mwanaume tajiri anasumbuliwa kila kukicha. Kwa dunia ya leo unategemea kabisa mumeo ambaye amekuzidi hela na anakuhudumia kila kitu aishi unavyotaka 😂 😂 😂 😂 are you serious ? Mume anakuhudumia na anawaheshimu wakwe zake na mashemeji halafu unalia kisa ana kimada.
 
Bado haujapitia shida kama hauoni umuhimu wa hela. Utu unatumika kama kigezo cha kuwakamua na kuwatawala masikini. Sijaweka negativity kwenye ndoa nimesema ndoa unachagua wewe mwenyewe.Tajiri hana muda wa kumnanga mke. Narudia tena kwa mara ya tatu "Hakuna mtu mwenye hela anaeweza kuvumilia shida". Wewe kama unataka kuishi kama kwenye movie tafuta masikini mwenzako. Mlishane ugali bamia kwenye mkeka. Lakini unataka uwe na mume tajiri, akununulie gari na kukuhudumia kubali kujishusha. Wanawake wenzako wanaona kabisa huyu jamaa ana mke na anaweza kumhudumia mke halafu na wewe unaleta kiburi. Hakuna mwanaume tajiri wa kwako peke yako. Kama mwanamke mzuri anavyotongozwa kila kukicha vivyo hivyo mwanaume tajiri anasumbuliwa kila kukicha. Kwa dunia ya leo unategemea kabisa mumeo ambaye amekuzidi hela na anakuhudumia kila kitu aishi unavyotaka 😂 😂 😂 😂 are you serious ? Mume anakuhudumia na anawaheshimu wakwe zake na mashemeji halafu unalia kisa ana kimada.

Kwahiyo kuwaheshimu wakwe na mashemeji (ambao kwa mujibu wa sheria ni wazazi na ndugu zake pia ndio maana wakaitwa “in laws) ndio kipimo sahihi cha kwamba anastahili zawadi ya kuwa mzinifu?

Kwamba kwa sababu anahudumia na kumpa kila kitu anachotaka mkewe basi hiyo ni ticket yake ya bure ya kuwa mzinzi?

Kumtaka mume alieapa kwa hiyari yake kuishi kwenye ndoa, kufuata viapo vya hiyo ndoa ni ujinga na ushamba?

Kwa sababu mume anapesa na anatoa kila kitu kwa mkewe na wanawake huko nje wanamtaka basi mke awe mpole “ajishushe amuache mume akiuke kiapo alichoapa mwenyewe na kuvunja mkataba kati yao?
Mwenza aliyepo kwenye Ndoa hampangii mwenza wake namna ya kuishi, ni Viapo na masharti ya Ndoa ndivyo vinamuelekeza mwanaNdoa aishi vipi na Mwenza wake.

Huwezi kufuata masharti na vigezo vya kuwepo ndani ya Ndoa ni kheri uachane na Ndoa ufanye mambo mengine.


Umevipa thamani Pesa na Mali, tegemea mazingaombwe sana kwenye Maisha yako.
 
Kwahiyo kuwaheshimu wakwe na mashemeji (ambao kwa mujibu wa sheria ni wazazi na ndugu zake pia ndio maana wakaitwa “in laws) ndio kipimo sahihi cha kwamba anastahili zawadi ya kuwa mzinifu?

Kwamba kwa sababu anahudumia na kumpa kila kitu anachotaka mkewe basi hiyo ni ticket yake ya bure ya kuwa mzinzi?

Kumtaka mume alieapa kwa hiyari yake kuishi kwenye ndoa, kufuata viapo vya hiyo ndoa ni ujinga na ushamba?

Kwa sababu mume anapesa na anatoa kila kitu kwa mkewe na wanawake huko nje wanamtaka basi mke awe mpole “ajishushe amuache mume akiuke kiapo alichoapa mwenyewe na kuvunja mkataba kati yao?
Mwenza aliyepo kwenye Ndoa hampangii mwenza wake namna ya kuishi, ni Viapo na masharti ya Ndoa ndivyo vinamuelekeza mwanaNdoa aishi vipi na Mwenza wake.

Huwezi kufuata masharti na vigezo vya kuwepo ndani ya Ndoa ni kheri uachane na Ndoa ufanye mambo mengine.


Umevipa thamani Pesa na Mali, tegemea mazingaombwe sana kwenye Maisha yako.
Unaongea nadharia dada yangu unachokitaka hakipo hapa duniani. Na ndio maana wanawake wengi hawaolewi. Kwa sababu wanataka pesa na kunyenyekewa kwa pamoja. Hivyo vitu havipo na havitakaa viwepo. Hakuna mtu atakaekupa pesa na heshima kwa pamoja. Ukiwa na mtazamo huo lazima utakosa mume labda utafute mwanaume ambaye hana hela. Lakini mwanaume mwenye mtazamo huu atasumbuliwa kila siku na wanawake wakililia awaoe. Na mwanamke mwenye mtazamo huu akipata mwnaume mwenye hela anaolewa chap kwa haraka. Unang'ang'ania viapo vya ndoa wakati wachungaji, masheikh na mapadri wanakumbatia matajiri. Unashindana na mumeo una uwezo wa kulipa ada ? Au kuihudumia hiyo nyumba ? Jishushe tu na jifanye mjinga watoto wakishakuwa na Umri ukienda mume atajirudi angalau. Lakini hauwezi kushindana na mtu mwenye hela. Kama unataka Utu tafuta wa size yako. Kuna dada mmoja alikuwa hajatulia akaja kupata mwanaume mwenye nia ya kumuoa. Alikuwa na uwezo mkubwa kifedha akaja kuachana nae kisa alifumania sms za kimapenzi. Hiyo ilikuwa mwaka 2008, mwezi wa saba mwaka huu anatimiza 37. Hana ndoa na bado yupo kwao, yule jamaa ana mke na ameshaoa. Na huyu dada amekuwa kimada kila akihitaji hela anaenda kwa yule ex-wake kubatuliwa. Anamfanyia vituko mke wa jamaa lakini mke anamwambia tu kuwa "wewe ni hawara hauwezi kuwa mke". Dada mpaka leo anajutia maana mke ndio anaitwa Mama Tarimo yeye kabaki kuwa kihawara chenye tamaa ya hela 😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Huyu mke wa Tarimo ndio anajua nini maana ya kuwa mke.
 
Kwamba mwanamke kuolewa na kuhudumiwa na mume aliemchagua mwenyewe kwa hiyari yake ni Msaada??

Kwamba ndoa ni lazima kwa mwanamke kiasi kwamba mpaka vitisho vya uhai na kifo vitumike??

Kwamba kutokua muaminifu kwenye ndoa na kusimamia viapo vya ndoa kwa mwanaume hiyo ni haki yake??

Kwamba wanaume wote matajiri kuwa wazinifu ndio style yao na haki yao ya maisha??

Kwamba unawafahamu wanaume wa Ulaya wenye michepuko na wanaenda kupumzika nayo huku mke akitoa baraka zake??

Kwamba style za maisha ya wanaume wa Ulaya ni haki yenu wanaume wa Afrika kuziiga ila ni kosa na dhambi kubwa kwa wanawake wa Afrika kuishi/kutaka kuishi Kama wanawake wa huko Ulaya (Feminists)??

Umefikiri kwa kutumia nini haswa?

Unapanda mbegu za bangi unatarajia kuvuna mchicha?!

Mwanamke sio Malaikah. Mwanamke ni binaadam tu Kama wewe, tofauti yake kubwa ni maumbile ya viungo vya uzazi.

Tamaa ulizonazo wewe nae pia anazo hizo hizo.

Vishawishi vinavyokuandama wewe nae pia vinamsonga tena pengine zaidi yako.

Magumu na machungu ya maisha yana kipomo sawa sawa kati yako na yeye na wakati mwingine yeye ni kikubwa zaidi.

Unapomtaka mwanamke kukuvumilia katika shida na raha na wewe unategemewa usimame upande huo huo hizo shida a raha zikiwa upande wake.

Unapomtarajia Mkeo kuvumilia madhaifu yako na mapungufu yako ndivyo inavyotarajiwa kutoka kwako pia kuyavumilia mapungufu yake na kuyaelewa madhaifu yake.

Maisha hapa duniani sio mashindano maana mwisho wa siku hesabu sio za pamoja, kila mtu ana zake.

Maisha ya Ndoa pia sio mashindano ni makubaliano ya watu wazima kwa hiyari zao kutengeneza/kuendeleza kizazi chao.

Inapofikia hatua mnaanza kuwa washindani ndani ya Ndoa, hiyo Ndoa haifai tena kuwepo.


Na mawazo na akili Kama zako ndizo zimetufikisha hapa. Hawa wanawake wa sasa ni kizazi cha wanawake walionyanyaswa na “kumilikiwa na kizazi cha wanaume ambao ni mababa zenu ninyi wavulana wa sasa.

Tarajia hali kuwa mbaya zaidi ya sasa maana watoto wakike wanazidi kuamka na ku retaliate, kumbukumbu za mama zao zipo damuni.

Kibaya zaidi baba zenu ninyi wavulana wapo busy kushindana kuwamiliki wanawake kiasi kwamba wamesahau uanaume halisi haswa ni upi so hawana tena nyenzo za kuwaandaa kuwa wanaume halisi.

Chaos is yet to come! Tuvute pumzi.
Utaongea point sana

Ila reality ya jamii hapa duniani mwanaume aki cheat anasamehewa penda usipende...mwanamke akicheat hakuna kusamehewa,sasa chagua moja!

Shida ni kwamba utaongea point kupita maelezo,ila reality ya jamii ni tofauti na upende usipende jamii ndio ina determine your life here
 
Kwahiyo kuwaheshimu wakwe na mashemeji (ambao kwa mujibu wa sheria ni wazazi na ndugu zake pia ndio maana wakaitwa “in laws) ndio kipimo sahihi cha kwamba anastahili zawadi ya kuwa mzinifu?

Kwamba kwa sababu anahudumia na kumpa kila kitu anachotaka mkewe basi hiyo ni ticket yake ya bure ya kuwa mzinzi?

Kumtaka mume alieapa kwa hiyari yake kuishi kwenye ndoa, kufuata viapo vya hiyo ndoa ni ujinga na ushamba?

Kwa sababu mume anapesa na anatoa kila kitu kwa mkewe na wanawake huko nje wanamtaka basi mke awe mpole “ajishushe amuache mume akiuke kiapo alichoapa mwenyewe na kuvunja mkataba kati yao?
Mwenza aliyepo kwenye Ndoa hampangii mwenza wake namna ya kuishi, ni Viapo na masharti ya Ndoa ndivyo vinamuelekeza mwanaNdoa aishi vipi na Mwenza wake.

Huwezi kufuata masharti na vigezo vya kuwepo ndani ya Ndoa ni kheri uachane na Ndoa ufanye mambo mengine.


Umevipa thamani Pesa na Mali, tegemea mazingaombwe sana kwenye Maisha yako.
Kama hupendi ndoa achana nayo

Hakuna haja ya kujifanya philosopher

I wonder why people are so teseka na vitu vinaitwa ndoa?

Umeingia,vimekushinda,piga chini,waliomo achana nao wateseke na wao,who cares
 
Inaelekea vijana wengi wanadhani kuwa wanawake wote waliokuwa katika ndoa na matajiri waliukuta huo utajiri. Ndio maana wanatawataka wa stfu ama sivyo watafurumushwa na huku wamevaa tu nguo walizokuja nazo. Wasichojua ni kuwa wanaume wengi wanawaoa wake zao wa kwanza wakiwa hawana kitu. Wanawake hao wana mchango mkubwa sana katika mafanikio yake hata kama ni kuhakikisha kila siku anaonekana nadhifu, anakula vizuri na ana pumzika vya kutosha. Shida inakuja mali inapopatikana na mume kuanza kumuona sio wa status yake. Wanaume wanaanza kuchelewa nyumbani hata kulala nje na wakiulizwa wanaulizwa wewe una shida gani? Si unakula na kusaza? Dharau hizo ndio mara nyingi zinawasukumiza kutafuta comfort na solace kutoka kwa vijana ambao hata siku moja hawatamuonyesha dharau.

Kitu kingine ambacho hawa vijana wanapaswa kutambua ni kuwa muelekeo ni kuwa huko mbeleni nafasi za uongozi nyingi zitashikwa na wanawake kwa sababu ndio wanaofanya vizuri mashuleni. Wengi wao hawatakubali manyanyaso yeyote na wengine wataona hata ndoa ni usumbufu. Vijana watakuta hamna anayetaka kuolewa nao. Sijui watakimbilia wapi?

Wanatakiwa wajifunze kuwa heshima ni muhimu kuliko mali. Kumheshimu mke wako hakuna maana kuwa unamnyenyekea. Ni unampa stahili yake.

Amandla...
 
Na hapo umeona kumuita single mother umemtusi. Haujui watu wengi wenye mafanikio wamelelewa na kukuzwa na single mothers.

Nyinyi ma dead beat dads mnaishia kuwa losers ambao sifa pekee mliokuwa nayo ni kuwa mlizaliwa wanaume.

Hiki ni kikao cha wote sio wanaume peke yao. Nenda kawa bully wengine lakini sio humu, you misogynist fool.

Amandla...



Ng'ombe wewe !


Yesu alilelewa na single Maza ??!


Mtume Mohammad alikuzwa na single Maza?


Sadly wewe ni mwanaume unajitongozesha Kwa kidume!

Sioi Tena!
 
My friend, I’m a Phenomenal Woman!

Situmii mashoga na sina msaada kwa mashoga Kama wewe maana hata Dildo wala strap on naziona kwenye movies tu, so I can’t be of any help kwako, jaribu kwingine.
Ukweli ninaokupa ni huo nyie single Maza na mliofeli kwenye mahusiano ndio mnaharibu wasichana wa watu wanakuwa magume Gume kama wewe.


Umeshaachwa unatafuta huruma mitandaoni!


Huna tofauti na huyo mke wa Mosha!
 
Ni mke pia ni muhasibu!
Unazijua sheria za Tanzania kweny ndoa kweli?

Mke anahusika kweny mali za mumewe walizochuma baada ya ndoa ,mke ana haki kama mke(mke wa ndoa) hata kama aliajiriwa haki hizo kama kurithi mali za mume na nyingine.
Una ushahidi gani kuwa Hizo Mali walichuma wote?
VIPI kuhusu tuhuma za kuiba Dola 1m na Sumu hapo atastahili?
Au ni dada Yako unamtetea EE? Kwa Mangi hatoboi,mamangi ni brightest sio rahisi uwaingize mjini
 
NANCY MWANAMKE ANAYEONYESHA MACHUNGU YA WANAUMME WAKIWA NA MALI.

Tunajua wanaume wangapi wamekufa kwa wanawake wenye tamaa na Mali tunajua, na bado Hata Hao wanawake kama Nancy wakiua na wakizipata mali wameshindwa kuendeleza Mali.
Nancy tujue ndugu zake Wana maisha gani, kaka yake mwenyewe alimwacha mke na watoto wadogo Australia na hakumpa hata senti na amemtesa Dada wa watu Ana watoto Kila kona na hiyo familia ni shida walimua baba Yao, mama Yao alimuua mme wake kwa umalaya na watu wa kibaha wanajua Vizuri mzee wa watu alipata strock mara 3 Ghafla akafa na manung'uniko ya mateso makubwa hiyo ni laana watapata majibu hapa hapa Duniani.
Nancy alijaribu kumtupia majini Davis wamfanye Kama Baba Yao wapi?Nancy alimpenda Mitimingi akampa aendeshe Miradi pale Afrikana ammalize Davis wapi?Nancy akaona aue Mtoto Meseji ikakamatwa akakimbia kwake ghafla.

Jamani pia Mnajua story ya Recho temu, Walipanga kumuua mtoto wa arusha, eti mtoto mdogo wa miaka mitatu Afe eti sababu atakuja kugawa Mali Dahhhhh, Nancy Nancy Nancy Nancy Nakuita, huwezi kummaliza Mangiii
kumbe alikuwa ni mtoto wa mosha
 
Utaongea point sana

Ila reality ya jamii hapa duniani mwanaume aki cheat anasamehewa penda usipende...mwanamke akicheat hakuna kusamehewa,sasa chagua moja!

Shida ni kwamba utaongea point kupita maelezo,ila reality ya jamii ni tofauti na upende usipende jamii ndio ina determine your life here

Reality ya jamii ipi?

Na hakuna jamii inayo determine maisha ya mtu hapa duniani, ni mtu mwenyewe ndie mwenye maamuzi ya kuipa nafasi jamii kuyaendesha maisha yake. And only weak pathetic people do this.

Sikushangai kuona kwamba ni sahihi jamii kufurahia na kuupa baraka uchafu kwa maana misery loves company.

Uzinzi ni chanzo mmoja wapo cha umasikini na maradhi ya kuteketeza na ndio maana wanaoelewa hawashangai hali ya binaadam wanaoishi Afrika (uzinzi + Starehe)

Mwanamke anaevumilia na kukubaliana na matendo ya uzinifu ya mume wake Kisa tu Jamii inayakubali pia, ni mjinga hasiejitambua wala kutambua thamani yake.

Tunaendelea kushukuru Asili kwa kuendelea ku balance “shobo, mara nyingi tumeshuhudia wachimba makaburi wakiingia wenyewe. Tupo hapa.
 
Back
Top Bottom