Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,410
- 4,307
Na hapo umeona kumuita single mother umemtusi. Haujui watu wengi wenye mafanikio wamelelewa na kukuzwa na single mothers.
Nyinyi ma dead beat dads mnaishia kuwa losers ambao sifa pekee mliokuwa nayo ni kuwa mlizaliwa wanaume.
Hiki ni kikao cha wote sio wanaume peke yao. Nenda kawa bully wengine lakini sio humu, you misogynist fool.
Amandla...
Wachana nae huyo, he’s on the hunt.
Anatafuta Bwana.