Sehemu gani niende kwa ajili ya kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu?

Natumaini wote nyie ni wazima,
Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa

Nilipanga niende Zanzibar ila hii weekend nimewaza nikaona hakuna sababu ya kurudi kule na nilienda tu December hapo. Sasa basi, naombeni mawazo ni wapi unadhani ungeweza suggest mtu aende akatulize akili na kufurahia kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa.

Mimi niko Morogoro saivi ila i am ready to travel na mzigo upo, ni kwamba tu i am stacked, sijui where to go.?

Ruhusa nishapata kazini na pengine ningekuwa i am decided on where to be, ningekuwa nishafika huko ila nipo nipo tu hapa and i fear naweza nisiende kokote, nikabaki tu kwangu all week.

Karibuni wadau, mnipe mawazo.
Wee jamaa unadhani wooote humu mazombie? Eti umeomba ruhusa kazini nikasherehekee siku yangu ya kuzaliwa na nimepewa! Fikra zako! Umasikini/utajiri wako! Nachelea kusema kwa fikra hizi wewe ni masikini huna pa kwenda!
 
Vijana wengi wamekosa uelekeo kwa kushindwa kuzoza na midomo yao imejaa meno wakati hata kutafuna mahindi ya kuchemcha hawawezi.
Zamani jando ilikua msaada mkubwa sana kwa watoto wetu wa kiume, na ndio maana hapakua na mambo ya kijana kuja kumtangaza mwanamke (eti anamtaka).
Wakubwa mmenielewa
Hakika
 
Nenda Mikumi National Park, kisha uende Udzungwa,Sanje water falls, ukitoka hapo Nenda Mpaka Malinyi ukatembee Sofi Majiji mpaka Ngoheranga
 
Vijana wengi wamekosa uelekeo kwa kushindwa kuzoza na midomo yao imejaa meno wakati hata kutafuna mahindi ya kuchemcha hawawezi.
Zamani jando ilikua msaada mkubwa sana kwa watoto wetu wa kiume, na ndio maana hapakua na mambo ya kijana kuja kumtangaza mwanamke (eti anamtaka).
Wakubwa mmenielewa
Mkuu nimetangulia Adis Ababa kujenga sanamu lako
 
Wee jamaa unadhani wooote humu mazombie? Eti umeomba ruhusa kazini nikasherehekee siku yangu ya kuzaliwa na nimepewa! Fikra zako! Umasikini/utajiri wako! Nachelea kusema kwa fikra hizi wewe ni masikini huna pa kwenda!
Wewe nae hasira zote hizo za nini na ndo kwanza mwisho wa mwezi umeanza..?
Anyways, katika likizo yangu ya siku 28 kwa mwaka, ofisi hairuhusu kuzichukua zote. Kwahyo tunazipunguza ukipata nafasi. Mimi nimechukua siku 10, hizo 18, tutazitafutia upenyo mbele ya safari. Upunguze makasiriko mkuu, jali afya yako ya akili.
 
Sehemu nzuri ni Kwa wazazi wako. Hivyo nenda Kwa wazazi wako kafurahi nao pamoja nyumbani.
 
Unaweza kwenda sehemu yoyote ili kupata Exposure ya maeneo mfano ukaja DSM kigamboni zipk sehemu za kutuliza Akili zenye mpangilio mzuri Sana.


Ila kikubwa siku yako ya kuzaliwa igawe Mara mbili Ahsubui tembelea kituo chochote cha watoto yatima utoe sadaka au chochote ,

Then jioni fanya kufurahia kwa kushukuru Mungu na kula na kunywa


Make a difference and God will reward to you more success .
Miaka inasonga uzee unamtafuta na kifo kinamkaribia (ceteris peribus) anatakiwa apate maeneo ya kuhuzunisha na sio kufurahisha, namshauri aende Israel. Mimi binafsi huwa nalia siku nzima nikisikitika kuongeza umri
 
Back
Top Bottom