Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Ila wakina mama wako hivyo. Watu wa hisia. Tatizo unaishi nawo kivipi?! Moto sana issue, usipopeleka moto issue, wanaume kazi tunayo...
Wengi wao romance, wengine moto Kwa sana!
Tutaelewana tu....🥀😜
 
Habari wana Jamii,

Na qtpitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Sijajua jamaa amekuzidi umri kiasi gani ila kama ni zaidi ya miaka 10 hali ndio hua inakua hivyo. Mwanaume kama kakuzidi sana manake anakua anakuona kama mtoto hakuna stori anayoweza kupiga na wewe. Mambo anayotaka kuongea yeye wewe hautayaelewa na wewe mambo unayotaka kuongea yeye hawezi kukuelewa.
 
Hakupendi huyo 😂 au laaa ndo wale wapole, upole wa kuzubaa zubaa.

Real boyfriend/ husband lazima mpige story,, mixer ma umbea mbalimbali… tena akikuona umempa umbea wa uongo akusute 😀🤣
😅😅😅 huyu si mimi.
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Hahahahahaha..utakua mtamu + utundu × utundu = ..Muda wote
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Kuna wakati sielewagi wanawake wanataka nini kwa wanaume..!!!

1. Wanalalamikia viba100..!
2. Wanalalamikia mihogo ya jang'ombe..!
3. Wanalalamikia kutogongwa muda mrefu..!
4. Wanalalamikia kunyanduliwa kila siku...!

Dah..!!! Yaani kila mmoja kuna anachokilalamikia
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Umeanza ujinga sasa,,,,we unataka muongee nini tena? Hayo ya kumwambia si useme mkiwa mnahemeana....!! Acha hayo mambo utaharibu nyumba yako kwa mikono yako mwneyewe
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
msjukuru mungu ana nguvu za kiume za kutosha na wewe ni mtamu la sivyo asingekuwa ana tak sex
 
Kuna kamoja ninacho kinaongea kama cherehani halafu rubbish tupu. Hata mudi ya kupiga hizo story nakosa kwanza sioni hata nitajadiliana nae nini.

Kanaweza fanana na huyu mleta mada maana nako sex hakapendi ni mpaka ukabembeleze na kukalazimisha sana.
Kakitaka kuja kanaanza kabisa kulia lia ooh nakuja lakini tupige story tu. Sasa hata nitaongea nacho nini sioni.😂kwanza me si muongeaji.

Ila sikashangai maana bado kadogo (19-21)
 
Mimi nafikiri kitu muhimu mwambie akununulie feni ndogo ya mezani hii itakusaidia kupoza mashine ili isiwake moto sana lakini kuliwa lazima uliwe kwa sababu umeshakula chako(mahari) sasa zamu yake kula chake(papuchi).
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Mruhusu aowe mke mwingine na wewe akuache, maana unalalamika majukumu ambayo niyakwako. Upo tayari atafute mwanamke mwingine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom