Thanks hashycool , Ni rahisi sana kuachana au mtu, au kusema unataka kuzaa na mtu kirahirahisi tuu, lakini mateso wanayopata watoto ni makubwa. Nawaomba wakina mama na kinadada msikubali kumwachia mwanaume watoto, kama ni shida vumilia mlee mwanao, mama wakambo ni nyoka, akusimulie mtuu tu.
mimi ni mmoja wa watu waliopata mateso sana na mama wa kambo, kwa sasa ni mtu mzima, kila huwa nikikumbuka
huwa siwezi kufanya kazi siku hiyo, pamoja na utu uzima machozi hayaishi.
Mateso sio kwenye kipigo, bado masimango, ubaguzi, kulazwa njaa etc. kwa ujumla mama wa kambo ni wakatili sana...
1.Open mydocuments, or my computer,
2.On the address bar type any web address, like Yahoo!
3.Then you will launch IE browser if it was your default browser,
4.From there go and download any browser, like mozila, or Google Crome,
5.Once you have them installed in your PC. you go to microsoft...
Wana JF, nimekuta hii habari kwenye hii site si vibaya kujadili
Zanzibar, wahamiaji na makanisa
Zanzibar, wahamiaji na makanisa
Assalamu alykum.
Nduguzanguni hebu tutafakarini masuala haya kwa makini.
Vipi watu hawa wanapata ardhi wakati ardhi yote ni ya waislamu?
Makanisa yanatumika...
Mimi nashindwa kuelewa, kama watu wamechukizwa na maamuzi ya chama kwanini wanakingangania, hawa pia ndio sababu kubwa ya kutokuwa na mabadiloko, nchii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.