Ukinicheka shambani, Mi Nitakucheka sokoni,
Chuma hufua chuma, ni mwendo wa roho mkononi,
Maisha ni mpangilio ukitulia yanajiseti, ni kama atoz kwenye mfumo alphabeti- Prof Jay, Ni hayo tuu!
Kama Dr Slaa alivyosimama na kutaja list of shame pamoja na kashfa nyingine, asimame hadharani kuwataja maaskofu waliohongwa na kiasi walichohongwa. AU atoke hadharani na kuwaomba radhi watanzania wote specifically waumini wa madhebu ya RC na Lutheran kwa kuwachafua viongozi wao na kuwaingiza...
Hi kampuni ni ya kiduwanzi saana sijawahi kuona!! Mimi nimenunu mzigo tokea 17 July .15
mpaka leo sijaupata!! Huduma kwa wateja bure kabisa ukitoa taarifa kwa moja wengine hawana!! Hakuna coordination kabisa!! Sitakaa nirudie tena kununua bidhaa kutoka kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.