Ukinicheka shambani, Mi Nitakucheka sokoni,
Chuma hufua chuma, ni mwendo wa roho mkononi,
Maisha ni mpangilio ukitulia yanajiseti, ni kama atoz kwenye mfumo alphabeti- Prof Jay, Ni hayo tuu!
Kama Dr Slaa alivyosimama na kutaja list of shame pamoja na kashfa nyingine, asimame hadharani kuwataja maaskofu waliohongwa na kiasi walichohongwa. AU atoke hadharani na kuwaomba radhi watanzania wote specifically waumini wa madhebu ya RC na Lutheran kwa kuwachafua viongozi wao na kuwaingiza...
Hi kampuni ni ya kiduwanzi saana sijawahi kuona!! Mimi nimenunu mzigo tokea 17 July .15
mpaka leo sijaupata!! Huduma kwa wateja bure kabisa ukitoa taarifa kwa moja wengine hawana!! Hakuna coordination kabisa!! Sitakaa nirudie tena kununua bidhaa kutoka kwao.
Kubota. Vifaranga vya mwezi mmoja chotara wa israel mitetea 45 na majogoo 5 wanaweza kula vyakula gani mchanganyiko gani na kg ngapi kwa siku moja. Asante.
Huu mtambo una manufaa makubwa sana ya kuhakikisha govt inapata mapato stahiki kama ukitumika vizuri.Serikali ya Ghana walipata mapato makubwa kutoka makampuni ya simu baada ya kufunga mtambo kma huo.Kwa tz i doubt.
Tatizo kubwa ya wasanii wa bongo ni kutojitambua thamani walionayo kama brand.Pili wanashindwa mbinu za wao kudumu kwa muda mrefu katika soko la muziki i.e sustainability.Pia wanakosa management nzuri yenye upeo wa muziki na inayo wajali.Ma manager wengi wa wasanii wa bongo hawana connection...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.