wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,353
Achana nao, Hiyo hela bora kununua CD tuangalie movie
Mamy yangu na wwe umenizidi umangi
Achana nao, Hiyo hela bora kununua CD tuangalie movie
Bado unao?naishi ArushaNauza kuku aina ya kuchi au kwa kizungu aseel,wana miezi mitatu na nusu.ni pure kabsa.Nipo Moshi
Kwa anaehitaji anipigie 0715 390738
Mamy yangu na wwe umenizidi umangi
Bora nionekane bahili, ila kununua kuku 100k kisa tu ana matege SIWEZI
Utanivunja mbavu zangu mweeee
Lol sa kumbe vipi? Matege yao labda ndo dili
Pia walinzi wa getini
Pia walinzi wa getini
Nimeshindwa mimi kaka ake
Hahahaha sabayi unazingua...Mkuu ameulizia kuku sio Ng'ombe
duuuh mbona wengi sana hawa shinyanga mungu wangu sikujua...... ngoja nikuulizeNaomba mwenye kujua nitapoweza kupata vifaranga wa kienyeji aina ya kuchi.
Nahitaji kama 40.
siyo laki mbili ni elf arobaini ya Tanzania. watch hiyo clip. kuku aina ya kuchi huuzwa shilingi elf mbili (2000) za kenya ambazo ni sawa na elf arobaini (40,000) za Tanzania. (shilingi moja ya kenya ni sawa na shilingi ishirini za Tanzania)Kuku wa Laki mbili?