Ni moja ya kauli bora ya kutia matumaini ambayo haijawahi kusikika ndani ya miaka miwili ya Mh Rais Samia Suluhu Hassan.
Kauli hiyo ya Mh Biteko Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ni kama imeibua shangwe na kuenea almost kila kona ya Tanzania tangia itoke jana.
Nadhani huko aliko Mh Rais...
Tayari tumeingia kwenye tatizo kubwa la kiuchumi kama Nchi na tusipokuwa na maono makubwa ya jinsi ya kutoka hapo kwa kuwa na mipango ya muda mrefu na muda mfupi basi tumekwisha.
Wataalam wetu wanasema tatizo la ukosefu wa USD katika Uchumi wa Tanzania ni tatizo la Nchi nyingi za Afrika.Sijajua...
Polisi wa Pale Kitonga, Ruaha Mbuyuni na Berrier ya Iringa mpaka aibu. Wapo pale kwa ajili ya kupokea rushwa na sio kuhudumia Raia.
Wakati mwingine wanalazimisha mpaka kutoa rushwa. Aibu sana
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Umepata kigezo kimoja tu!Operations na vifaa!japo vifaa havikupi ushindi wa medani!
Ni Operations + Mikakati + Nidhamu
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Hawa hawataki uwekezaji lakini ukiwauliza tunatokaje sasa hapa poa hawana majibu.Model.gani tuende nayo tukiachana na DP World?
Hakuna atakayekupa majibu.Suala la Bandari yanajafiliwa kwa maslahi ya Siasa na kumuonea huyu Mama.sababu ni mwanamke na ni Mzanzibari.Hakuna kingine.
Sent from my...
Nakubaliana sana na wewe.hizi ID zinawapa vijana kibali cha matusi.As long as unaishi mtaani utafikiwa.
Tujadiliane kwa hoja tu .
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.