Frank Hood
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 588
- 1,329
Huenda wangemsachi pale wangemkuta na kibapa kidogoJamaa kweli alitereza ukweli usemwe
Huenda wangemsachi pale wangemkuta na kibapa kidogoJamaa kweli alitereza ukweli usemwe
Kwa Afrika tutakuwa wa arobaini na saba {47}Tunaomba upunguze nchi za dunia ya kwanza uweke za Afrika kwanza ambazo ziko mbele yetu kama zisipotosha ndiyo ndiyo ujazie hizo
😁😁😁😁 Kumbe ukomando ni nguvu,Vile vile kuna utofauti kati ya Komando wa US na Komando wa Kiafrika
Kutokana na nature ya watu wa Africa kuwa ni watu wenye nguvu basi usitegemee kumuona Komando wa US amzidi Komando wa Kiafrika
Umepata kigezo kimoja tu!Operations na vifaa!japo vifaa havikupi ushindi wa medani!View attachment 2734303
Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali
Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.
Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020
- The United States — $778 billion
- China — $252 billion
- India — $72.9 billion
- Russia — $61.7 billion
- United Kingdom — $59.2 billion
- Saudi Arabia — $57.5 billion
- Germany — $52.8 billion
- France — $52.7 billion
- Japan — $49.1 billion
- South Korea — $45.7 billion
Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Siasa jeshini zilianza baada ya vita vya Kagera, Moses Mnauye akiwa na kitengo chake cha siasa .....Lianze mara 2?
Nidhamu bila vifaa ni wendawazimu.Umepata kigezo kimoja tu!Operations na vifaa!japo vifaa havikupi ushindi wa medani!
Ni Operations + Mikakati + Nidhamu
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Marekani kweli Taifa kubwa.Idadi ya wanajeshi
Kwa mujibu wa taarifa zilizomo mtandaoni zinaonesha kwamba Tanzania ipo na idadi ya wanajeshi 27,000. Basi ninaweza nikaamua kuongezea mara tatu ya idadi hii iliyoandikwa kwenye mitandao maana huenda wametuhujumu.
27,000 x 3 = 81,000
Tunaweza kusema sasa tupo na askari 81,000.
Hebu sasa tuangalie kwenye nchi zingine
Zifuatazo ni nchi kumi zenye askari wengi duniani mwaka 2020
- China: 2,185,000
- India: 1,455,550
- United States: 1,388,100
- North Korea: 1,280,000
- Russia: 1,014,000
- Pakistan: 654,000
- Iran: 610,000
- South Korea: 599,000
- Vietnam: 482,000
- Egypt: 438,500
Jeshi linaundwa mahsusi kwa ajili ya vita, pasipo na vita wanajeshi hawana kazi zaidi ya mazoezi....Katika hali kama hiyo ndipo siasa majungu na ukatili kwa raia hutamalaki.Marekani kweli Taifa kubwa.
Ukiona Taifa lina idadi kubwa ya wanajeshi lakini haiwekezi pesa nyingi zaidi kwenye jeshi mfano marekani, basi hao wanajeshi ni wa kudhibiti wananchi zaidi kwa maoni yangu.
Kuwalinganisha wahuni Taliban wanaopigana kwa kuvizia na US ARMY ni udhaifu wa mfumo wa kufikiri!Kwani Nguvu ya kijeshi ya Taliban ipoje? Maana hawa jamaa wamepigana na Usa na USSR kwa miaka kama 70 sasa hivi.
Ila wameondoka na kuwaachia Nchi, Same kwa Vietnam, vita si nguvu tu muelewe hili.Kuwalinganisha wahuni Taliban wanaopigana kwa kuvizia na US ARMY ni udhaifu wa mfumo wa kufikiri!
Marekani ni next level! Taleban hawezi kuwa contest hata Pakistani.
Vita pia ni propaganda, dunia itafikiri vipi kuhusu wewe kumbuka hilo?Ila wameondoka na kuwaachia Nchi, Same kwa Vietnam, vita si nguvu tu muelewe hili.
Hapo unaongelea theory, mwanadamu akishakua threatened anabadilika na kuwa kiumbe kingine kabisa. Ikipigwa Nucleur kadhaa tu basi strategy inabadilika, sio rahisi Kama unavyofikiria kutekeza nchi nzima, hasa hizo kubwa.Vita pia ni propaganda, dunia itafikiri vipi kuhusu wewe kumbuka hilo?
USA angeweza kuwaua karibu watu wote Afriganistan, Iraq, Korea, Vietnam.
Lakini ange loose moral ground.
Funguka, fafanua zaidi.Hapo unaongelea theory, mwanadamu akishakua threatened anabadilika na kuwa kiumbe kingine kabisa. Ikipigwa Nucleur kadhaa tu basi strategy inabadilika, sio rahisi Kama unavyofikiria kutekeza nchi nzima, hasa hizo kubwa.
Mtego wa kukamata wapumbavu kama wew usitishe watu ..... ivi tunajigamba tuna jeshi ambalo mpaka leo haituambii kigogo ndo naniUle ni mtego Kuna watu mnatafutwa na mtapatikana maana mnawashwawashwa....
Samahani mtoa mada kwanza kuiweka Tanzania na hizo nchi una kosea labda useme Africa nzima budget yake ipo ndani ya top 10 duniani?View attachment 2734303
Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali
Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.
Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020
- The United States — $778 billion
- China — $252 billion
- India — $72.9 billion
- Russia — $61.7 billion
- United Kingdom — $59.2 billion
- Saudi Arabia — $57.5 billion
- Germany — $52.8 billion
- France — $52.7 billion
- Japan — $49.1 billion
- South Korea — $45.7 billion
Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Je unataka kuongeza jambo lolote kwa msemaji wa JWTZ?Samahani mtoa mada kwanza kuiweka Tanzania na hizo nchi una kosea labda useme Africa nzima budget yake ipo ndani ya top 10 duniani?