Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Mkuu unaenda mbali sana usipoteze Mb zako bure hapa Africa ss hata top 10 hatupo ndo itakuwa huko duniani haya si maajabu
 
View attachment 2734303

Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Umepata kigezo kimoja tu!Operations na vifaa!japo vifaa havikupi ushindi wa medani!

Ni Operations + Mikakati + Nidhamu

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Idadi ya wanajeshi
Kwa mujibu wa taarifa zilizomo mtandaoni zinaonesha kwamba Tanzania ipo na idadi ya wanajeshi 27,000. Basi ninaweza nikaamua kuongezea mara tatu ya idadi hii iliyoandikwa kwenye mitandao maana huenda wametuhujumu.

27,000 x 3 = 81,000
Tunaweza kusema sasa tupo na askari 81,000.
Hebu sasa tuangalie kwenye nchi zingine
Zifuatazo ni nchi kumi zenye askari wengi duniani mwaka 2020

  1. China: 2,185,000
  2. India: 1,455,550
  3. United States: 1,388,100
  4. North Korea: 1,280,000
  5. Russia: 1,014,000
  6. Pakistan: 654,000
  7. Iran: 610,000
  8. South Korea: 599,000
  9. Vietnam: 482,000
  10. Egypt: 438,500
Marekani kweli Taifa kubwa.

Ukiona Taifa lina idadi kubwa ya wanajeshi lakini haiwekezi pesa nyingi zaidi kwenye jeshi mfano marekani, basi hao wanajeshi ni wa kudhibiti wananchi zaidi kwa maoni yangu.
 
Marekani kweli Taifa kubwa.

Ukiona Taifa lina idadi kubwa ya wanajeshi lakini haiwekezi pesa nyingi zaidi kwenye jeshi mfano marekani, basi hao wanajeshi ni wa kudhibiti wananchi zaidi kwa maoni yangu.
Jeshi linaundwa mahsusi kwa ajili ya vita, pasipo na vita wanajeshi hawana kazi zaidi ya mazoezi....Katika hali kama hiyo ndipo siasa majungu na ukatili kwa raia hutamalaki.
Kwa kuliona hilo, mipango ya peace keeping missions hupangwa ili wapiganaji wasianze kujihusisha na mambo yasiyofaa, mfano kusaka wanaovaa nguo zinazofanana na sare za Jeshi.
 
Kwani Nguvu ya kijeshi ya Taliban ipoje? Maana hawa jamaa wamepigana na Usa na USSR kwa miaka kama 70 sasa hivi.
Kuwalinganisha wahuni Taliban wanaopigana kwa kuvizia na US ARMY ni udhaifu wa mfumo wa kufikiri!
Marekani ni next level! Taleban hawezi kuwa contest hata Pakistani.
 
Kuwalinganisha wahuni Taliban wanaopigana kwa kuvizia na US ARMY ni udhaifu wa mfumo wa kufikiri!
Marekani ni next level! Taleban hawezi kuwa contest hata Pakistani.
Ila wameondoka na kuwaachia Nchi, Same kwa Vietnam, vita si nguvu tu muelewe hili.
 
Ila wameondoka na kuwaachia Nchi, Same kwa Vietnam, vita si nguvu tu muelewe hili.
Vita pia ni propaganda, dunia itafikiri vipi kuhusu wewe kumbuka hilo?

USA angeweza kuwaua karibu watu wote Afriganistan, Iraq, Korea, Vietnam.

Lakini ange loose moral ground.
 
Vita pia ni propaganda, dunia itafikiri vipi kuhusu wewe kumbuka hilo?

USA angeweza kuwaua karibu watu wote Afriganistan, Iraq, Korea, Vietnam.

Lakini ange loose moral ground.
Hapo unaongelea theory, mwanadamu akishakua threatened anabadilika na kuwa kiumbe kingine kabisa. Ikipigwa Nucleur kadhaa tu basi strategy inabadilika, sio rahisi Kama unavyofikiria kutekeza nchi nzima, hasa hizo kubwa.
 
Hapo unaongelea theory, mwanadamu akishakua threatened anabadilika na kuwa kiumbe kingine kabisa. Ikipigwa Nucleur kadhaa tu basi strategy inabadilika, sio rahisi Kama unavyofikiria kutekeza nchi nzima, hasa hizo kubwa.
Funguka, fafanua zaidi.
 
View attachment 2734303

Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Samahani mtoa mada kwanza kuiweka Tanzania na hizo nchi una kosea labda useme Africa nzima budget yake ipo ndani ya top 10 duniani?
 
Back
Top Bottom