DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,015
- 18,676
- Thread starter
- #61
Mluu shukrani sana kwa taarifaRekebisha lugha, sio kuthibiti, ni kudhibiti
Mluu shukrani sana kwa taarifaRekebisha lugha, sio kuthibiti, ni kudhibiti
Pata madaraka tuone rangi zako halisiNaona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Kama yeye ndo waziri mkuu niyo msimamizi wa shughuli za serikali ....Ngoja nikupe mfano wa mWalimu hivi mkuu wa shule/mwalimu mkuu kwwnye vipindi vya kufundisha huwa anapanga au anapangiwa...Kapangiwa kajipangia?
Kweli kabisa true 100%
Kwaiyo huyo biteko ni raisi!WALIO SEMA HAKUNA RAISI ATATOKEA KANDA YA ZIWA DAIMA NA MILELE , HAYA MKO. WAPIIII,....HAPOO NI IN MAKING......
Wivu tuu.Aisee.Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..
Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142
Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo
View attachment 2748144
Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Wakati ukifika utaondoka hata ukiwa katikati ya vifaru na mizinga. Watanzania, ukiwaondoa watawala, hakuna mwenye ushetani wa kuondoa roho ya mtawala.Huo wote ni ubatili. Kifo hakiwekewi walinzi kitakufata hata ukiwa umelala.
Aisee. Hivi ni elimu, exposure au ujinga? Nchi yetu bado kuna raia wengi akilizao zinawatosha kuvuka barabara tu ndiyo maana viongozi wanalewa madaraka na kufanya mambo kama haya. Jaribu kusoma na kutembea duniani upanue mawazo yako kwani unasikitisha sana.Msaidizi wa WAZIRI MKUU huyo...
Anastahili ulinzi wa hivyo....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siku ukiwa N/W M utawaambia hao jamaa wakuachie mlinzi 1 tu ?!!!
Nimesoma ila sijaizunguka dunia kama ulivyoizunguka weweAisee. Hivi ni elimu, exposure au ujinga? Nchi yetu bado kuna raia wengi akilizao zinawatosha kuvuka barabara tu ndiyo maana viongozi wanalewa madaraka na kufanya mambo kama haya. Jaribu kusoma na kutembea duniani upanue mawazo yako kwani unasikitisha sana.
Ulinzi wote huo ni matumizi mabaya ya Fedha zetu
Hapa kuna mbumbumbu wengi hawana hata clue kuwa haya ni matumizi mabaya ya fedha za nchi. Tena hao wajinga wanasema sijui unamwonea wivu utakuta ni fukara wanaoishi kwa kudra za Mungu. Sijui tatizo ni elimu au ni nini!Ulinzi wote huo ni matumizi mabaya ya Fedha zetu
Lakini unajua ni jukumu lako kuhakikisha kodi yako ina tumika kwa matumizi stahiki kulingana na katibaMkuu wewe lipa tu kodi unazostahili.
Mambo mengine ziachie mamlaka
Kwani ulinzi huo ni kwa ajili ya kujilinda dhidi ya watanzania tu?!!!Wakati ukifika utaondoka hata ukiwa katikati ya vifaru na mizinga. Watanzania, ukiwaondoa watawala, hakuna mwenye ushetani wa kuondoa roho ya mtawala.