Kwa Ulinzi wa Dotto Biteko, Serikali itunge sheria kudhibiti matumizi mabaya ya Ofisi

Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142


Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

View attachment 2748144

Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Pata madaraka tuone rangi zako halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...

Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha Majeshi yetu na hasa Usalama wa Taifa na Kulindwa na jeshi kubwa Huku akiona sifa kama Anaigiza Muvi ya Kivita hivi..

Jambo kama hili aliwahi kulifanya aliyekuwa mkuu wa mkoa Wa Dar es salaam..
naona sasa imekuwa kama maigizo hivi... Hebu muone hapa chini...
View attachment 2748142


Picha Ya mkuu wa Mkoa enzi hizo

View attachment 2748144

Na hii nyingine..
View attachment 2748150
Wivu tuu.Aisee.

Kwahy ulitaka umlinde wewe?
 
Msaidizi wa WAZIRI MKUU huyo...

Anastahili ulinzi wa hivyo....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aisee. Hivi ni elimu, exposure au ujinga? Nchi yetu bado kuna raia wengi akilizao zinawatosha kuvuka barabara tu ndiyo maana viongozi wanalewa madaraka na kufanya mambo kama haya. Jaribu kusoma na kutembea duniani upanue mawazo yako kwani unasikitisha sana.
 
Aisee. Hivi ni elimu, exposure au ujinga? Nchi yetu bado kuna raia wengi akilizao zinawatosha kuvuka barabara tu ndiyo maana viongozi wanalewa madaraka na kufanya mambo kama haya. Jaribu kusoma na kutembea duniani upanue mawazo yako kwani unasikitisha sana.
Nimesoma ila sijaizunguka dunia kama ulivyoizunguka wewe

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom