ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,594
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dotto Biteko ameitaka Bodi ya Tanesco kuhakikisha Umeme unapatikana Kwa Watanzania vinginevyo hawawaelewi Wala hawataielewa Serikali.
Amewataka viongozi walioaminiwa na kubeba dhamana ya Rais kuhakikisha Umeme unapatikana kwamba ndio salama Yao vinginevyo atalazimika kutafuta mchawi.
My Take: Ni hatua nzuri ila mheshimiwa punguza hotuba za Matumaini fanya kazi umeme na mafuta vipatokane Ili uwe Waziri Bora kama ulivyosema.
Amewataka viongozi walioaminiwa na kubeba dhamana ya Rais kuhakikisha Umeme unapatikana kwamba ndio salama Yao vinginevyo atalazimika kutafuta mchawi.
My Take: Ni hatua nzuri ila mheshimiwa punguza hotuba za Matumaini fanya kazi umeme na mafuta vipatokane Ili uwe Waziri Bora kama ulivyosema.