Neno pretty maana yk ni 'zuri'(muonekano/sura) ni kisifa hasa -a kike. Mf. Pretty girl. Je ww ni mzuri kisura/kimwonekano au ndio walewale? Attach photo yk hapo tujue kama "pretty" linakufaa
Mungu ni HE kwa mujibu wa biblia. Inasema kuwa mungu ni baba haijaandikwa mungu ni mama, mungu ni bwana wa mabwana, mume wa wajane, ni mfalme haijaandikwa mungu ni malkia. Kumbuka kuwa neno MUNGU siyo jina lake bali ni sifa yake(MUUMBAJI). Jina lake hasa ni JEHOVA na akiwa duniani aliitwa...
Balali hajafa alifichwa tu kuepusha vita nchini kwa kuwa mtu mzima ilihusika na angeshikwa pabaya. Huo msiba gani hata ndg wa kuzaliwa walinyimwa kuhudhuria? Tena kiongozi mkubwa kama yy azikwe tz wasione hata kwny tv? Anakufa msanii tu watu wote tunaona sembuse balal! Acheni zn ndg walipewa...
Ndio maana ya kuitwa bongo! Watu wanakula kwa kutumia ubongo sasa ww ukitumia tope badala ya akili utaliwa hata ningekuwa mm. Alafu kaeni mkijua kuwa kila mtu bongo ni mwizi ni kwakuwa hatujapata nafasi au vitengo na wengine arobaini zao hazijafika. Ashukuru mungu hajafa. So take care guys.
Haaaa! Wee kijembee ungeshtukiwa na mkeo. Kondoo kauzwa lini dukani? Na muuzaji angekushangaa mwisho wa ck mkeo angeuliza kuna nini hapa? Mwenye duka angemwambia unataka kuuziwa kondoo humu dukani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.