Recent content by Man Jau

  1. Man Jau

    Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

    Ukiona mtu anakutishia swali ulilouliza ujue hajui, tafuta Mtu mwingine akuelekeze. Mungu hana chanzo, as you know it. Ni sawa na umtengeneze roboti, alafu akuulizie chanzo chake, na ukamwambiwa kuwa ulimtengeneza via Ai mwaka 2022...alafu (roboti) akuulize tena chanzo cha Mwanadamu 😂😂😂 Hapo...
  2. Man Jau

    Mjadala kuhusu chanzo cha ulimwengu na maisha

    In short, Mungu ana fast forward less important details ili mwanadamu usije ukajifanya una akili nyingi. We humans are always unpredictable, deviant, variants ,(according to loki)
  3. Man Jau

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Niwaambie tuu, maandiko ya kwenye biblia ukichukulia tuu kama kitabu cha kihistoria, utasoma utamaliza, na utajenga dhana unazozijua wewe. Ila ukikisoma kama kitabu cha falsafa na busara, utagundua kimezidi falsafa zote ulimwenguni Na ukikisoma kiimani, utagundua kuwa kimezidi imani zote...
  4. Man Jau

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    yesu (issa) wa Quran na Yesu wa Biblia ni watu wawili tofauti. Yesu wa Quran alioa na kuwa na watoto wawili ila Yesu wa Biblia hajaoa, hajazaa wala hajatenda dhambi, maana Dhambi imeanguka mbele yake, ‭1 Yoh 3:5 SUV‬ [5] Nanyi mnajua ya kuwa yeye alidhihirishwa, ili aziondoe dhambi; na dhambi...
  5. Man Jau

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Utawala wa kirumi ulianguka kabla ya ujio wa Mtume Mohammad s.a.w Naaeka sawa hili tuu ili facts ziendane. Asante
  6. Man Jau

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Utatu upp kwenye biblia..nadhsni nilieshi kusoma kwenye Yohana, Yesu alielezea katika moja ya mafundisho yake..
  7. Man Jau

    Miaka 18 ya upotevu wa maisha ya Yesu Kristo. Je, nini hasa siri yake na wanaficha nini?

    Wenzako wanakupinga kwa sababu chanzo cha taarifa zao ni Biblia. Wewe chanzo cha taarifa yako ni kipi??
  8. Man Jau

    Miaka 18 ya upotevu wa maisha ya Yesu Kristo. Je, nini hasa siri yake na wanaficha nini?

    Hivi vitu taabu yake watu hatupendi kuvichimba mpaka ndani. Mfano saayansi, ukiichimba mpaka ndani kabisaaa, itakupeleka kwenye njia mbili. 1. Ukubali kuwa Mungu yupo 2. Uamini kuwa hakuna Mungu Na hata ukikazana kwenye namba mbili, hautokaa upate majibu milele, zaidi ya kujidanganya. Na...
  9. Man Jau

    Ujio wa pili wa Yesu na Alliens invasion

    Broo...😂😂😂😂 Mjusi anasema binadamu ni super stupid, hatujijui, hatujielewi.
  10. Man Jau

    Je, kila nafsi itaonja mauti?

    Jibu jepesi ni hapana...kwa ushahidi uliosema hapo ni wazi kabisa kuwa si kila nafsi itaonja umauti. Zipo nafsi ambazo hazikuonja umauti na ni fresh tuu. Na nadhani umemaanisha umauti wa mwili, right?
  11. Man Jau

    Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

    Soul ties is real. Kuna procedures za kutoa hizo mambo..maana ni spirits zinakuwa zinashikamana na wewe. Kama ambavyo mtu anashika mimba na kuzaa...unapotenda dhambi unazalisha roho, zinaota na kukuaa...na kukua..na kukua. Kwenye ngono ndio kunazaliwa majini mahaba (hasa wale wanaozini na watu...
  12. Man Jau

    Utata wa siku 3 za Yesu na hesabu zetu

    Na hii hesabu ndio inayotuletea mvurugano huku kwetu kwenye dunia ya sasa. Ndio maana wanasema kuwa siku ya kwanza ya juma (Jumapili) Yesu alifufuka katika wafu...na hii ndio sababu ya wakristo wote ulimwenguni kusali siku ya kwanza ya juma ambayo ni Jumapili
  13. Man Jau

    Utata kuhusu Hadithi ya gharika la NUHU na SAFINA

    Nothing is more coded than the Bible...my friend
  14. Man Jau

    Utata kuhusu Hadithi ya gharika la NUHU na SAFINA

    Hili nalifahamu vizuri. Na naamini kuwa Misri ni fumbo..lakini pia ni matukio halisi yaliyotokea. Hapannamaanisha kuwa kila vitendo vilivyotokea na kuandikwa katika biblia ni ishara. Za kweli zenye maana kimwili na kiroho pia. Kimfano ishara zote alizooneshabMusa za kuifany fimbo kubadilika...
Back
Top Bottom