Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,702
- 3,096
Quran ilisha andikwa tokea huko mbinguni kisha ndio ikaanza kushuka kwa Muhammad kidogo kidogoHoja dhaifu kwenye Quran?? We muislam wa wapi wewe? Nimekwambia nipe aya inayosema hivyo acha porojo mkuu, leta aya katika Quran mkuu na sio porojo zako hazina mantiki hapa.
Quran 85
21 Bali hii ni Qur'ani tukufu
22.
Katika Ubao Ulio Hifadhiwa