Siku Lissu akiondoka katika dunia Tanzania itazizima hata CCM watasikitika japo kimya kimya. Jamaa namkubali sana na hazina ya Taifa. Sio mnafiki kabisa. Kazungumzia swala la Palestina na Isreal hata masheikh wanaogopa kusema wakati wao ndio wanatakiwa wazungumze. Lissu angalikuwa muislam...
Mijadala mingi huko nyuma imeibuka kuhusu mtazaomo wa wasio waislam kwa waislam
Baadhi yao wakiamini wanawake wa kiislam wanakaa majumbani na wanaume wa kiislam hawawapi fursa pia waislam hawakusoma
Yote hayo hivi sasa yamezibwa mdomo.
Rais mwanamke tena muislam
Nakutakieni J2 njema. Mod...
nilisema mwanzo wa vita, muislam hashindwi katika hivi vita, akifa au akiua yey kwake ni baraka kubwa kwa sababu anapigania ardhi yake. Wakiristo wa Jf wakawa wanakejeli. Leo hii Palstina anaetumia manati na jiwe kupambana na Isreakl aliepewa silaha zote za dunia anatikishwa? Anaua watoto...
"University of Southern California Muslim students are praying Jumma (Friday prayer) and non-muslim students made a wall, surrounding them for their safety. How beautiful Scene!"
Kumjibu Lissu kunahitaji akili Kubwa. Watu ambao wanaweza kumjibu Lissu kwa Tanzania ni 3 kisheria kwa mtazamo wangu.
1) Prof Shivji
2) Othman Masoud
3) Mwanasheria Awadh
hao wakisimama na Lissu lazima katika mjadala nchi itasimama. Tuliobaki tunasema tu
1. Ndio waliotaka mfumo wa vyama vingi
2. Ndio waliofanya Tanzania bara izinduke kiupinzani wa siasa za upinzani
3. Ndio waanzilishi wa hizi Tv
4. Waanzilishi wa biashara
5. Hawanuniliki wapinzani wa siasa tofauti na upande wa pili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.