Hamas yakubali pendekezo la kusitisha mapigano, wananchi wa Rifah washangilia

Watulie sasa, sio wamekubali kuacha vita kwasababu wameishiwa silaha na siku wamezipata tuanze kusikia wameanza vita tena
Nani kakuambia wewe bwege, Hamas kama si hao vibaraka wa US asinge simamisha vita, Qatar na Egypt ndio wamembembeleza Hamas ili America na Israel kuondoa aibu walio ipata duniani.

Hamasi mpaa kesho anadunda hakuna Israel alicho fanya zaidi ya kuvunja majumba na kuwauwa watoto na wanawake tu.

Viongozi wa Qatar na Egypt ni washenzi sana wamemsaidia US na Israel ili Hamasi akubali kusimamisha vita.

Sa wacha America na hao warabu waijenge Gaza.

Lakini ukweli mimi nimeamini Israel bila viogozi wa nchi za kiarabu na US na Europe hana lolote
 
Nani kakuambia wewe bwege, Hamas kama si hao vibaraka wa US asinge simamisha vita, Qatar na Egypt ndio wamembembeleza Hamas ili America na Israel kuondoa aibu walio ipata duniani.

Hamasi mpaa kesho anadunda hakuna Israel alicho fanya zaidi ya kuvunja majumba na kuwauwa watoto na wanawake tu.

Viongozi wa Qatar na Egypt ni washenzi sana wamemsaidia US na Israel ili Hamasi akubali kusimamisha vita.

Sa wacha America na hao warabu waijenge Gaza.

Lakini ukweli mimi nimeamini Israel bila viogozi wa nchi za kiarabu na US na Europe hana lolote
Naangalia hapa TV live West Jerusalem maandamano wanashangilia baada ya kusikia kauli ya Hamas, huku wanafukuzwa na Farasi.
 
Sijapata ona Kiongozi wa Ovyo kama hao wa Hamas, for what purpose kujaa kuongea uongo kwa Raia vitu ambavyo havipo,
 
nilisema mwanzo wa vita, muislam hashindwi katika hivi vita, akifa au akiua yey kwake ni baraka kubwa kwa sababu anapigania ardhi yake. Wakiristo wa Jf wakawa wanakejeli. Leo hii Palstina anaetumia manati na jiwe kupambana na Isreakl aliepewa silaha zote za dunia anatikishwa? Anaua watoto, anapiga nyumba na waandishi wa habari. mWEZI WA 8 sasa Isreal tabani. Anakaa katika meza ya kupatanishwa? anaaomba msaada kwa kila kona ya silaha? Dah.
 
Walibaki pekee yao wakitumika kama vikaragosi vya Iran , nchi za kiArabu waliwatenga waPalestina na kuunga mkono mahusiano yao ya Israel na nchi za kiungwana za kiarabu kupitia makubaliano ya Abraham Accord :

Maktaba:
SAUDI ARABIA NA JORDAN, WATUNGUA MAKOMBORA YALIYOVYATULIWA YEMEN KUELEKEA ISRAEL

Saudia Arabia moja ya nchi ya kiarabu kusaini makubaliano ya Abraham Accord (normalisation) na Taifa la Israel. Hivyo Saudia walivyoona makombora yanakatiza anga lao toka kwa wa Houthi wa Yemen , wakafanya wajibu wao kuyatungua ingawa yalikuwa amelengwa kuipiga nchi ya Israel. Jordan nayo watungua makombora yaliyokatiza nchini kwao kuelekea Israel toka kwa vikaragosi wa Iran waliopo kama mgambo ktk nchi za Iraq na Syria.

Pia manowari za Marekani katika bahari Nyekundu Red Sea watungua makombora yaliyofyatuliwa Yemen kuelekezwa Israel. Marekani ni rafiki wa kweli wa Saudia, Jordan, UAE na mmoja ya wadau waliofanikisha Abraham Accord kuleta utulivu na amani Mashariki ya Kati.

Mataifa ya Egypt, Jordan na Saudia Arabia ni nchi za mfano zilizo wauungwana kusimamia makubaliano ya Abraham Accord bila kusukumwa na viongozi wa magaidi wa HAMAS wanaotumbua maisha ya kifahari ktk hoteli za Qatar. kuendekeza jazba, mihemuko au imani kupitia shindikizo la magaidi wavunje makubaliano haya ya kihistoria.

Tanzania nayo haitakiwi kukurupuka kufuata mkumbo wa wahafidhina wenye chuki, mihemuko, kukosa kufikiri kwa kina na kulaani haki ya taifa la Israel kujilinda uwepo wake na usalama wa maisha raia wake.


U.S. Department of State (.gov)
www.state.gov
At the One Year Anniversary of the Abraham Accords: Normalization ...

17 Sept 2021 — Normalization leads to greater stability, more cooperation, mutual progress – all things the region and the world need very badly right now ...
Baraza la mawaziri wa israel wameigomea wazo la pendekezo la usitishaji wa vita uko gaza kipigo kipo pale pale hadi waitokomeze hamas

View: https://www.facebook.com/100064939231977/posts/848276494013651/
 
Nitawashangaa sana viongozi wa Israel wakiukubali huu mpango wa Qatar na Egypt bila kuingia Rafah, pale lazima pafukumuliwe kwanza ndio mambo mengine yaendelee.
 
Wanashangilia tu sikia hii two ago:-

2min ago

Jordan says Rafah strikes jeopardizing truce deal

By REUTERS
Jordan’s Foreign Minister Ayman Safadi says Prime Minister Benjamin Netanyahu is jeopardizing a truce agreement by launching strikes in Rafah.
“Tremendous effort has been made to produce an exchange deal that’ll release hostages & realize a ceasefire. Hamas has put out an offer. If Netanyahu genuinely wants a deal, he will negotiate the offer in earnest. Instead, he is jeopardizing the deal by bombing Rafah,” Safadi says on social media platform X.
Israeli leaders said Hamas’s offer fell short of Jerusalem’s demands, and that the army would push ahead with a planned offensive on the southern Gaza city.
 
Wanashangilia tu sikia hii two ago:-

2min ago

Jordan says Rafah strikes jeopardizing truce deal

By REUTERS
Jordan’s Foreign Minister Ayman Safadi says Prime Minister Benjamin Netanyahu is jeopardizing a truce agreement by launching strikes in Rafah.
“Tremendous effort has been made to produce an exchange deal that’ll release hostages & realize a ceasefire. Hamas has put out an offer. If Netanyahu genuinely wants a deal, he will negotiate the offer in earnest. Instead, he is jeopardizing the deal by bombing Rafah,” Safadi says on social media platform X.
Israeli leaders said Hamas’s offer fell short of Jerusalem’s demands, and that the army would push ahead with a planned offensive on the southern Gaza city.
Wewe si ulikuja na uzi wako wa kijinga kuwa Hamas wameingizwa mkenge Israel hawatambui haya makubaliano saizi unakuja na uharo gani tena?

Waisrael wenyewe hawa hapo wewe takataka.


View: https://x.com/qudsnen/status/1787550844142973104?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wewe si ulikuja na uzi wako wa kijinga kuwa Hamas wameingizwa mkenge Israel hawatambui haya makubaliano saizi unakuja na uharo gani tena?

Waisrael wenyewe hawa hapo wewe takataka.


View: https://x.com/qudsnen/status/1787550844142973104?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Mimi Sio Muislam nidanganye... Uzi niliuleta ni wa ukweli mtupu nadhani umemshawishi mod aufunge pengine anajua mtakutana Masjidi kumtukuza Mungu Mwezi... Al lah. ndio ushaambiwa vikosi vinapiga tu Rafah.. Hamas ni janja tu makubaliano walishakataa wakapewa na wiki waamue sasa wameona raia wanakimbia Rafah wanaanza kutangaza tumekubali vita isimame... Netanyahu kawashangaa wakati ameshatoa go ahead ya kipondo... mwisho wa Siku Hamas hawezi tawala Gaza anymore ndio ukweli huu japo ni mchungu kwako na Allah pia
 
Back
Top Bottom