Utatu wa Magufuli, Juma Nkamia na Tundu Lissu unamfanya Lissu aonekane ni Mwanamme Jasiri!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
85,868
145,930
Shujaa Magufuli alikuwa Rais wa JMT

Juma Nkamia alikuwa Mbunge na Naibu waziri

Tundu Lissu alikuwa Mbunge

Juma Nkamia aliogopa kutumbuliwa akatoa Sifa za uwongo Ili Katiba ibadilishwe na Rais akae madarakani kwa miaka 7

Tundu Lissu aliweza kumueleza Ukweli aliouamini Rais Shujaa Magufuli bila kuogopa

Kwa sasa Nkamia na Tundu Lisu wote siyo wabunge tunaishi nao mitaani Kondoa na Marekani

Nawatakieni Dominica Njema 😃
 
Siku Lissu akiondoka katika dunia Tanzania itazizima hata CCM watasikitika japo kimya kimya. Jamaa namkubali sana na hazina ya Taifa. Sio mnafiki kabisa. Kazungumzia swala la Palestina na Isreal hata masheikh wanaogopa kusema wakati wao ndio wanatakiwa wazungumze. Lissu angalikuwa muislam anaglikufa popote ningalijitahidi nishiriki kumswalia
 
Shujaa Magufuli alikuwa Rais wa JMT

Juma Nkamia alikuwa Mbunge na Naibu waziri

Tundu Lissu alikuwa Mbunge

Juma Nkamia aliogopa kutumbuliwa akatoa Sifa za uwongo Ili Katiba ibadilishwe na Rais akae madarakani kwa miaka 7

Tundu Lissu aliweza kumueleza Ukweli aliouamini Rais Shujaa Magufuli bila kuogopa

Kwa sasa Nkamia na Tundu Lisu wote siyo wabunge tunaishi nao mitaani Kondoa na Marekani

Nawatakieni Dominica Njema 😃
Ukienda kanisani uwe unatuletea mahubiri wanasemaje huko. Najua siku hizi wanapiga spana sana. Tuwe machawa wa Yesu/Mungu/Mtume Mohamad
 
Shujaa Magufuli alikuwa Rais wa JMT

Juma Nkamia alikuwa Mbunge na Naibu waziri

Tundu Lissu alikuwa Mbunge

Juma Nkamia aliogopa kutumbuliwa akatoa Sifa za uwongo Ili Katiba ibadilishwe na Rais akae madarakani kwa miaka 7

Tundu Lissu aliweza kumueleza Ukweli aliouamini Rais Shujaa Magufuli bila kuogopa

Kwa sasa Nkamia na Tundu Lisu wote siyo wabunge tunaishi nao mitaani Kondoa na Marekani

Nawatakieni Dominica Njema 😃
Hivi ili ulipwe buku 7 kwa siku unatakiwa uandike threads ngapi😆😆😆. Juma Nkamia hajawahi kuwa Naibu Waziri kwenye utawala wa Magufuli bali utawala wa Kikwete
 
Shujaa Magufuli alikuwa Rais wa JMT

Juma Nkamia alikuwa Mbunge na Naibu waziri

Tundu Lissu alikuwa Mbunge

Juma Nkamia aliogopa kutumbuliwa akatoa Sifa za uwongo Ili Katiba ibadilishwe na Rais akae madarakani kwa miaka 7

Tundu Lissu aliweza kumueleza Ukweli aliouamini Rais Shujaa Magufuli bila kuogopa

Kwa sasa Nkamia na Tundu Lisu wote siyo wabunge tunaishi nao mitaani Kondoa na Marekani

Nawatakieni Dominica Njema 😃
Hivi ili ulipwe buku 7 kwa siku unatakiwa uandike threads ngapi😆😆😆. Juma Nkamia hajawahi kuwa Naibu Waziri kwenye utawala wa Magufuli bali utawala wa Kikwete
 
Back
Top Bottom