WADAU NATAKA NITENGENEZE SOFTWARE ZA MAHESABU, TATIZO SIJUI NIANZEJE NA SINA HELA YA KUMPA MTU ANITENGENEZEE SOFTWARE, SO MWENYE UTAALAMU WA KUTENGENEZA SOFTWARE NAOMBA ANISAIDI AU HATA LINK YA JINSI YA KUTENGEZA SOFTWARE.<br>ASANTENI SANA.
Wakuu naamini JF ndo kila kitu, Mm ni mjasiriamali na ktk ujasiliamali wangu natka kufanya mambo makubwa, So mwenye kujua kutengeneza INTRANET anisaidie maelekezo hata Links za kugoogle.
Wakuu wife amesumbuliwa na fangasi mda mrefu na anmimba kwa hiki kipindi, naomba mnisaidie atumie dawa au tube gani ili imusaidie? Hata kama ni ya kienyeji mm ntajitahidi nimtafutie, anasumbuka sana mazee.
Wife wangu analalamika anawashwa sana kila nnapopiga bao, yaani spam zinamuwasha sana, hivi tatizo litakuwa ni nini? Maana huwa anapigakelele sana za kuwashwa. Naombeni mnisaidie.
kwani viongozi wa dini ni akina nani? akina lusekelo hahaha, hao nao unawaita ni viongozi wa dini? dini kwa matajiri tu? hata wenyewe ni dhaifu kama mwenzao. baada ya kuwalaani UAMSHO wanazidi kumaliza makanisa yao wapo kimya wanamlaumu mnyika anaetetea maslahi ya wanyonge kwa kusema ukweli.
Naomba niende tofauti na wewe kidogo, inshu siyo kuwa na idea coz kama mtu anaidea haina haja ya kuja kutafuta idea, ok Mtei alitakiwa atueleze interest zake(yaan yeye anapendelea bishara za aina gani), experience yake katika bishara, elimu yake, je yuko tayari kupata risk ya kiasi gani?,
Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.