Software

majogajo

JF-Expert Member
Oct 9, 2011
317
44
WADAU NATAKA NITENGENEZE SOFTWARE ZA MAHESABU, TATIZO SIJUI NIANZEJE NA SINA HELA YA KUMPA MTU ANITENGENEZEE SOFTWARE, SO MWENYE UTAALAMU WA KUTENGENEZA SOFTWARE NAOMBA ANISAIDI AU HATA LINK YA JINSI YA KUTENGEZA SOFTWARE.<br>ASANTENI SANA.
 
Ni vigumu sana kuanza kutengeneza software 1 kwa moja kwa kuanza na software unayoitaka inabidi utumie muda wako kujifunza programming language hata moja unayoona itakufaa halafu unaenda kwenye software unayoitaka.
 
ni vigumu sana kuanza kutengeneza software 1 kwa moja kwa kuanza na software unayoitaka inabidi utumie muda wako kujifunza programming language hata moja unayoona itakufaa halafu unaenda kwenye software unayoitaka.
nashukuru mkuu kwa ushauri wako, sasa hiyo programming language nitajifunzaje?
 
Kuna language nyingi sana, hapo inabidi uwe makini kwenye uchaguzi. Kila language ina uzur wake na mapungufu yake. Kwenye mtandao kuna tutorials nyingi sana karibu za kila language, pdf na video ni nyingi mno ni wewe tu. Kwa kuanzia pitiapitid hizi language kwa juu juu af utachagua.
*Ms VB.net
*Ms Visual C#
*Ms Visual C++
*Python
*Perl
*Prolog
zipo nyingi wadau wataongezea.
 
Nakushauri ununue kitabu cha programming, vipo vya ina nyingi
na recommend hiki C++ Programming in Easy Steps (fourth edition) -Mike Mcgrath, kwa complete beginners.
halafu downloaad Microsoft Visual C++
ila kama ulivyoshauriwa inategemea na programming language unayopendelea wewe...
 
zeus hiki kitabu kinaweza kuwa kizuri lakin kwa kutumia hiki kitabu huyu jamaa hawez kufanikiwa kutengeneza hiyo software yake. Kitabu kinahusu C++ halafu halafu wewe unamshauri tena atumie Microsoft Visual C++ . Kwa nini asitafute kitabu cha Microsoft Visual C++ moja kwa moja? Inabidi pia tukumbuke Microsoft Visual C++ sio programming language!!!
 
Last edited by a moderator:
Nyasiro huyu jamaa nimeshauri asome kitabu cha beginners kitakachomfunza programming kwanza, hawezi kudevelop software yake bila kujua kuandika basic prgm codes, right? so ataandika codes zake say kwenye notepad,then a download compiler ms visual c++ kutest hizo codes into an .exe program, nilimaannisha compiler na sio P Language na labda ni rahisi kufuata mifano kwenye kitabu kwani ndo anaanza na kitabu kinampa maelekezo. ALternatively, anaweza kudownload any programming language anayotaka na compiler ambayo ni compatible bila kutumia kitabu.
 
Anza kujifunza open software na tumia zaidi source codes zilizotumiwa kudevelop unix system na variants zake. Kwa kifupi anza kuhack source codes.
 
Back
Top Bottom