Kosa kubwa sana unalofanya ni kutumia muda mwingi kujihukumu. Kujiona mkosaji, kujiona maskini, kujiona hufai, kujiona umekosea lakini unasahau kitu kimoja. BADO unaweza kubadilisha hiyo ali kwa kuchukua hatua yenye tija zaidi hata kama ni ya maumivu.
Tafuta eneo lingine la biashara uhame...
Africa ndo maana tunakufa maskini. Yaani uwekeze 200m upate faida ya 1.5m kwa mwezi. Ugoro wawapi huu? 200m ukiwekeza biashara ya maana unavuta hadi m20 kwa mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.