Alafu kuna hii mfano Certificate in social work. Aijasema ni basic technician au technician yenyew. Hii tunaiweka kweny level gani NTA LEVEL 4/5 na kwanini zitambulike tofaut na izo zingine.
Wana JF kwema?
Straight to the point, najua JF is the home of great thinkers na inajumuisha watu mbalimbali wenye uelewa katika mambo mengi hivo Uzi wangu upo mahali sahihi kabisa, naomba ushauri kwa mwenye kujua ni kazi gani kati ya UHASIBU, AFISA BIASHARA, AFISA MANUNUZI, AFISA RASLIMALI...
Afisa mipango na wachumi ni watu wawili tofauti ingawa baadhi ya taasisi wanakaa kweny ofisi moja kama halmashaur, ila ata halmashaur afisa mipango ni mipango tu,mchumi ni mchumi na mtakwimu ni vilevile but wanakaa kweny ofisi moja kwa maana baadhi ya majukumu wanaingiliana. Lakini hao ni watu...
Naona kuna tofauti kati ya kuwa mchumi na kuwa afisa mipango ingawa wote kwa halmashaur wapo katika ofisi moja, vigezo hivyo hapo vya kuwa afisa mipango, asilimia kubwa ni karibu kozi zote zinazotolewa chuo cha mipango irdp dodoma
1.0.3 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya juu ya Mipango kutoka vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha (Major) katika mojawapo ya fani
zifuatazo; Mipango ya Maendeleo ya Mikoa, Mipango ya Menejimenti ya Mazingira,
Mipango ya Maendeleo ya Idadi ya Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.