Msaada kuhusu NACTE

Ndenzaamo

Member
Feb 14, 2019
5
1
Naomba msaada wa uelewa kwa wale wanafunzi walio hitimu vyuo vya kati ngazi za diploma na wakawa wamepata vyeti katika mfumo wa NON NTA.

Kwa maana nyingine walio soma certificate mwaka mmoja na kupata cheti kisha wakasoma diploma miaka miwili na wakapata cheti pia kimoja.

Je, watu hawa wanaweza kupata msaada wakubadilishiwa vyeti kwa maana kuwa wapewe vyeti vilivyo kwenye mfumo wa NTA level 4 ,5,na 6 ili wasibaki nje ya mifumo ya ajira inayo tambua certificate ni miaka miwili kwa maana ya level 4, cheti level5 cheti na diploma mwaka mmoja cheti?
 
Naomba msaada wa uelewa kwa wale wanafunzi walio hitimu vyuo vya kati ngazi za diploma na wakawa wamepata vyeti katika mfumo wa NON NTA.

Kwa maana nyingine walio soma certificate mwaka mmoja na kupata cheti kisha wakasoma diploma miaka miwili na wakapata cheti pia kimoja.

Je, watu hawa wanaweza kupata msaada wakubadilishiwa vyeti kwa maana kuwa wapewe vyeti vilivyo kwenye mfumo wa NTA level 4 ,5,na 6 ili wasibaki nje ya mifumo ya ajira inayo tambua certificate ni miaka miwili kwa maana ya level 4, cheti level5 cheti na diploma mwaka mmoja cheti?
Nilikuwa natafuta ili swali
 
Back
Top Bottom