Project planning and management

Hiyo Ni kozi yangu na nilishaomba nafasi za afisa mipango zilizotangazwa mwaka Jana lakini nilipigwia chini, kufuatilia sababu nakuta nafasi zote 8 walichukuliwa wachumi
Kwa ninavyoelewa kwa sasa ofisi ya mipango kuna mchumi na afisa mipango
Hawa wote wanaingia kwenye hii ofisi.
Project planning ni field ambayo haijazoeleka sana hapa Nchini kwetu ila kwa sasa inakuja kasi na ukitazama vyuo vingi vimeanzisha course hii.
Zamani Afisa mipango ilikua ni lazima awe mchumi kwa kuwa hapakua na hii course ila ukienda Halmashauri kati ya aliyesoma uchumi na aliyesoma project planning,mtu wa project planning anajikuta yuko vizuri kwa kuwa Halmashauri wana deal na mipango zaidi.
 
So after let's say five years hii kozi ya Project Planning and management itakuwa marketible hapa Tanzania
 
Kwa ninavyoelewa kwa sasa ofisi ya mipango kuna mchumi na afisa mipango
Hawa wote wanaingia kwenye hii ofisi.
Project planning ni field ambayo haijazoeleka sana hapa Nchini kwetu ila kwa sasa inakuja kasi na ukitazama vyuo vingi vimeanzisha course hii.
Zamani Afisa mipango ilikua ni lazima awe mchumi kwa kuwa hapakua na hii course ila ukienda Halmashauri kati ya aliyesoma uchumi na aliyesoma project planning,mtu wa project planning anajikuta yuko vizuri kwa kuwa Halmashauri wana deal na mipango zaidi.
Kwaiyo unachosema wapo maafisa mipango halmashaur waliosoma project planning and management??? Na wapo idara ya mipango?
 
Mu Quote afisa utumishi atujibie haya maswali
1.0.3 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya juu ya Mipango kutoka vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha (Major) katika mojawapo ya fani
zifuatazo; Mipango ya Maendeleo ya Mikoa, Mipango ya Menejimenti ya Mazingira,
Mipango ya Maendeleo ya Idadi ya Watu (Population and Development Planning),
Mipango ya Uwekezaji na Maendeleo ya Fedha, Mipango ya Menejimenti ya Rasilimali
watu, Menejimenti ya Mazingira na Maendeleo ya Miji, na Maendeleo ya Uchumi.View attachment 20212007191632TANGAZO-LA-KAZI-JULAI-2021-BAHI-1.pdf
 
1.0.3 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya juu ya Mipango kutoka vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha (Major) katika mojawapo ya fani
zifuatazo; Mipango ya Maendeleo ya Mikoa, Mipango ya Menejimenti ya Mazingira,
Mipango ya Maendeleo ya Idadi ya Watu (Population and Development Planning),
Mipango ya Uwekezaji na Maendeleo ya Fedha, Mipango ya Menejimenti ya Rasilimali
watu, Menejimenti ya Mazingira na Maendeleo ya Miji, na Maendeleo ya Uchumi.View attachment 2595538
Naona kuna tofauti kati ya kuwa mchumi na kuwa afisa mipango ingawa wote kwa halmashaur wapo katika ofisi moja, vigezo hivyo hapo vya kuwa afisa mipango, asilimia kubwa ni karibu kozi zote zinazotolewa chuo cha mipango irdp dodoma
 
Habari,

Msaada jamani juu ya hii kozi ya bachelor degree in project planning and management hivi inahusiana na Nini? Pili soko lake la ajira likoje hapa Tanzania?

Ajira zake serikalini zipo au hakuna kabisa? Na Je kwenye non governmental organization Hali ikoje huko
Kazi nyingi ni kwenye international organizations
Mishahara ni around million 8 an above
Uwe na connection
 
Back
Top Bottom