Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,833
- 8,514
PRINCE 2Soma kozi yoyote ila chukua certification ya project management(PMP) carries more value kuliko hata masters.
PRINCE 2Soma kozi yoyote ila chukua certification ya project management(PMP) carries more value kuliko hata masters.
Kwa ninavyoelewa kwa sasa ofisi ya mipango kuna mchumi na afisa mipangoHiyo Ni kozi yangu na nilishaomba nafasi za afisa mipango zilizotangazwa mwaka Jana lakini nilipigwia chini, kufuatilia sababu nakuta nafasi zote 8 walichukuliwa wachumi
Hivi hii certificate naipata wapi na ada yao ikojeSoma kozi yoyote ila chukua certification ya project management(PMP) carries more value kuliko hata masters.
https://www.google.com/aclk?sa=l&ai...=2ahUKEwi7yfzLjrv-AhWBXcAKHRulDRUQ0Qx6BAgKEAEHivi hii certificate naipata wapi na ada yao ikoje
Shukrani
Kwaiyo unachosema wapo maafisa mipango halmashaur waliosoma project planning and management??? Na wapo idara ya mipango?Kwa ninavyoelewa kwa sasa ofisi ya mipango kuna mchumi na afisa mipango
Hawa wote wanaingia kwenye hii ofisi.
Project planning ni field ambayo haijazoeleka sana hapa Nchini kwetu ila kwa sasa inakuja kasi na ukitazama vyuo vingi vimeanzisha course hii.
Zamani Afisa mipango ilikua ni lazima awe mchumi kwa kuwa hapakua na hii course ila ukienda Halmashauri kati ya aliyesoma uchumi na aliyesoma project planning,mtu wa project planning anajikuta yuko vizuri kwa kuwa Halmashauri wana deal na mipango zaidi.
Kwaiyo unachosema wapo maafisa mipango halmashaur waliosoma project planning and management??? Na wapo idara ya mipango?
1.0.3 SIFA ZA MWOMBAJIMu Quote afisa utumishi atujibie haya maswali
Naona kuna tofauti kati ya kuwa mchumi na kuwa afisa mipango ingawa wote kwa halmashaur wapo katika ofisi moja, vigezo hivyo hapo vya kuwa afisa mipango, asilimia kubwa ni karibu kozi zote zinazotolewa chuo cha mipango irdp dodoma1.0.3 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada/Stashahada ya juu ya Mipango kutoka vyuo
vinavyotambuliwa na Serikali ambao wamejiimarisha (Major) katika mojawapo ya fani
zifuatazo; Mipango ya Maendeleo ya Mikoa, Mipango ya Menejimenti ya Mazingira,
Mipango ya Maendeleo ya Idadi ya Watu (Population and Development Planning),
Mipango ya Uwekezaji na Maendeleo ya Fedha, Mipango ya Menejimenti ya Rasilimali
watu, Menejimenti ya Mazingira na Maendeleo ya Miji, na Maendeleo ya Uchumi.View attachment 2595538
Ndio na nina unakika na ninachokisema kwa 100%Kwaiyo unachosema wapo maafisa mipango halmashaur waliosoma project planning and management??? Na wapo idara ya mipango?
Basi ni kozi nzuri tuNdio na nina unakika na ninachokisema kwa 100%
Kuna washkaji kama 10 hivi nawajua
Yes ni coz nzuri kwa sababu unaweza kuajiriwa kama afisa mipango,afisa maendeleo ya jamii au afisa mtendaji kataBasi ni kozi nzuri tu
Kazi nyingi ni kwenye international organizationsHabari,
Msaada jamani juu ya hii kozi ya bachelor degree in project planning and management hivi inahusiana na Nini? Pili soko lake la ajira likoje hapa Tanzania?
Ajira zake serikalini zipo au hakuna kabisa? Na Je kwenye non governmental organization Hali ikoje huko