Korozoni
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 264
- 105
Habari wana JF,
Samahani naomba kuelekezwa tofauti ya kozi tajwa hapo juu.
Mimi nimechaguliwa kusomea Ualimu ngazi ya Technician Certificate in P.Education lakini kwenye chuo husika kozi iliyopo ni Basic Technician(Level 4) pamoja na Ordinary Diploma in Primary Education(Level 6).
Na je,duration ya kila kozi ni muda gani?
Shukrani
Samahani naomba kuelekezwa tofauti ya kozi tajwa hapo juu.
Mimi nimechaguliwa kusomea Ualimu ngazi ya Technician Certificate in P.Education lakini kwenye chuo husika kozi iliyopo ni Basic Technician(Level 4) pamoja na Ordinary Diploma in Primary Education(Level 6).
Na je,duration ya kila kozi ni muda gani?
Shukrani