Wakati benki inavamiwa, nikapiga 112
nikajibiwa KARIBU JESHI LA POLISI
TANZANIA
KITENGO CHA DHARULA, for kiswahili
press 1 for
english press 2, nikabonyeza 1, sauti
ikasema kwa
ajali ya barabarani au moto bonyeza 1
kwa
ujambazi bonyeza 2, nikabonyeza 2,
sauti ikasema:
kama majambazi...
Ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa
basi ujue Possibility ya wewe kuoa ni
ndogo sana.Sio kwa sababu wanawake
watakuwa wameisha,LA hasha!Ila
hutaweza ku-afford kuoa labda
umtoroshee msichana wa watu Gheto
kwako uishi nae kinyumba ,ila kuoa
jasho la meno litakutoka.
Ukipeleka Ombi la kuoa...
hatimaye Dar inarudi katika asili yake, Obama akirud ghafla atahis amepelekwa sehem nyingine, hatoamini huo uchafu, folen, wamachinga, harufu, umeme umekatika, maji hamna, mgomo wa waalim na madoctor naaaaaaa enh! ngoja nifanye yangu mie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.