Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Zuzu m1 kapita sehemu fulani akawakuta watoto wanacheza akawadanganya;
'Nyie nendeni kule kunachakula kinagaiwa' Wale watoto wakatimua mbioooo.
Zuzu akajisemea moyoni, "mbona wanakimbia sana labda kunachakula kweli"
Nae mbio!
'Nyie nendeni kule kunachakula kinagaiwa' Wale watoto wakatimua mbioooo.
Zuzu akajisemea moyoni, "mbona wanakimbia sana labda kunachakula kweli"
Nae mbio!