Habari zenu wakuu
Naomba kupewa ABC kuhusu hii kitu nimekuwa nikifatilia since wayback lakini sijaanza kushiriki mana sijui natakiwa niwe na kitu gani haswa chamsingi
Nawasilisha
Habari zenu wadau,
Naomba kujuzwa bei ya laptop na desktop bora na imara za kisasa na Kama kuna mtu anaweza kunielekeza utofauti na ubora wake nasikiliza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.