data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,230
- 22,831
There is nothing wrong with the video... Good service from the police...🙏🙏👌👌Hawa hapa?
There is nothing wrong with the video... Good service from the police...🙏🙏👌👌Hawa hapa?
Tatizo Watanzania wanasoma Kingereza kwa muda mrefu lakini mwisho wa siku wengi ni hola, watupu kabisa.Hakuna aibu kwa kutofahamu lugha ya mtu mwingine. Himizo liwe tujitahidi kujua lugha zaidi ya moja kwa dunia ya sasa mbali ya lugha zetu za kimakabila na lugha mama tunayozaliwa tukiizungumza.
Yeye aliweza kuongea Kiswahili?Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Unaposoma hoja ya mtu soma kwa mapana. Nilichoongea nimeongelea kwa ujumla sijaongelea situation ya hao watumishi. Nimeeleza tu dhana ya kwamba kutojua lugha nyingine si kosa, kisha nikatoa angalizo ni muhimu kujifunza lugha zaidi ya moja kwa dunia ya leo.Fikiri kabla ya kujibu, huyp afisa uhamiaji anafanya nini kama hawezi kuelewana na anaotakiwa kuwasaidia, kama hivyo basi waweke viziwi na bubu.
Wakamalizia kwa swali, how many cc? Jibu, 250, askari 150cc. Kwaheri, asante sana.
Mbona wameelewana lugha ipo kurahisisha mawasiliano. Mlitaka wateme yai kama OBAMA?Hawa hapa?
***** wale Kenge ilibidi wawe tu wapole sababu ya kizungu, waliona mambo yasiwe mengi, ndo zao hao wakiona mtu mgeni au ukiwapigisha ngeli huwa wanasanda na kujikuta wakarimu .....🤗🤗🤗Ni jamaa au mwanamke? Sijaona Cha ajabu mbona wameongea nae vizuri tu mpaka anaondoka anasema " are Tanzania police always this nice? "
Kwenye dunia ya Messi, Kiingereza kimemsaidia nini?Mzee dunia ya sasa Kiingereza muhimu wewe baki na Kiswahili chako
ukoloni mamboleo tu unakusumbua. Hivi wachina, wajapani wanaopiga kazi kwa lugha zao kuna shida gani?Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Mleta mada ana hoja Mfano mataifa ya ulaya wasiozungumza kiingereza Mfano France, German, Italy, Spain, Belgium, scandinavia n.k. kiingereza ndiyo lugha muhimu Kwa lugha za kigeni wanafundishwa vizuri na wanakiongea kama kikwao utagundua wenzetu wapo strategic na hawaja temper na elimu sasa nikuulize swali mjerumani kujua kiingereza ni utumwa au ni matakwa ya Dunia? Kama wewe unakaa nanjikinji ukisafir kuja Dsm labda unaenda mhimbili kama siyo Mloganzila utakuwa sawa lakini kama upo ofisi flani au kupata na mwewe kuvuka maji kwenga ng'ambo huu ulioandika utakuwa upumbavHuu utumwa utaisha lini? Mleta mada ni mtumwa lakini hajui kama ni mtumwa.
Kweli wajinga kama wewe kwenye dunia hiini wengi!Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Acha upuuzi wewe fagilia lugha yako....Mleta mada ana hoja Mfano mataifa ya ulaya wasiozungumza kiingereza Mfano France, German, Italy, Spain, Belgium, scandinavia n.k. kiingereza ndiyo lugha muhimu Kwa lugha za kigeni wanafundishwa vizuri na wanakiongea kama kikwao utagundua wenzetu wapo strategic na hawaja temper na elimu sasa nikuulize swali mjerumani kujua kiingereza ni utumwa au ni matakwa ya Dunia? Kama wewe unakaa nanjikinji ukisafir kuja Dsm labda unaenda mhimbili kama siyo Mloganzila utakuwa sawa lakini kama upo ofisi flani au kupata na mwewe kuvuka maji kwenga ng'ambo huu ulioandika utakuwa upumbav
Wewe ndio mwenye shida. Huyo Dada anaweza kuongea Kiswahili vizuri?Mdada ni Mnigeria ana pikipiki zile za masafa marefu, yupo mpakani kasimamishwa na wana mamlaka wetu. Wakaanza kuongea nae kiingereza, aibu nimeona mimi.
Mdada ana camera kaifunga nadhani kwenye pikipiki so alikuwa anarekodi matukio na kuyapost mtandaoni.
Tusomeshe watoto jamani dunia ya sasa kiingereza hakiepukiki
Jibu swaafiWewe ndio mwenye shida. Huyo Dada anaweza kuongea Kiswahili vizuri?
HahahaZambia at Chama🤣🤣
Siwezi kubishana na Nanga kama weweYeye aliweza kuongea Kiswahili?
Endelea kuongea kisukuma tuKwan ukienda marekan then ukakuta kiswahili kinawpga chenga utashangaa? Mtanzania lugha ni kiswahili hayo mengne ni chombezaaa tuu
Aibu kamuonee mumeo hukoNimeona aibu mm kwa upumbavu aloandika mtoa uzi
Dah tunadhihirisha ufinyu wetu wa kufikiri. Yan mtoa mada unadhani kiingereza ndo kilakituuu??
Dah kwa akili hizo bado utaendelea kumshukuru waziri kwa kuleta mvua
China hawajui kiingereza