Recent content by G'ze!

  1. G

    MHAYA KAPOTEZA VYETI

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] kabila lenye mbwembwe Tanzania
  2. G

    Ujumbe kwa mh. Waziri wa Elimu

    Hahaaa...eti hata akili yakuvukia barabara hana!!
  3. G

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Pia ata huyo Paul Makonda orgnal lazma ile kwake,kwann auze chet chake?
  4. G

    Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

    Aisee mkuu umeona mbal sana...saaaafi!!
  5. G

    Baba yangu huwa ananibaka

    We kumbe ni mwongo e,story zako ni za kutunga...kuna nyngne nmeiona unalalamika baba yako anaku2mia text za mapenz akdhan anam2mia mama yako ila unaogopa kusema
  6. G

    Meseji za baba yangu zinanikwaza

    Hzo text ztakuharbu kisaikolojia,chamuhmu mwambie mama yako ili afkshe ujumbe kwa mumewe Pia wamalzane kmyakmya chumban mwao kwamba mama amwambie baba acje akakuulza k2 ,yan ajione/ajiaminshe kwamba bnt yake hajui k2 chochote khs yy na mama yako Ila pia ukmweleza mama tayar itakua imeathr wa2...
  7. G

    Kamanda Sirro: Ninapigiwa simu usiku wa manane na wanawake

    Kwann wampgie cm kumweleza mambo km hayo akat ibajulkana kuwa ni kamanda? Je,hayuko serious na kaz yake? Je,yuko anajchanganya sana na wa2 wasio na tja ktk nafasi alyonayo?
  8. G

    Aisee Ushuhuda wa macho unauma sana jamani!

    Mkuki kwa ngurue,kwa bnadam mchungu..usilopenda kutendewa ucltende,ww ulvyompa taarfa kuwa umepata gal mwngne na unampenda ultegemea nn!?ultaka mwenzako aendelee kusubir meli airport!!?
  9. G

    Mwanaume kudharaulika na mwanamke ni uzembe

    Mktaka mcdharaulike muache uvvu wa kutafuta pesa mana ckuiz mnapenda kufugwa badala ya kufuga
  10. G

    Hivi Mchungaji mwanamke anatongozwaje?

    Hahaaa..ad kutetemeka!?hlo ltakua ni pepo
  11. G

    Michepuko inaniacha na kunirudia

    Naww unategemea kuja kuwa baba bora(kchwa cha family)?
  12. G

    Mkitaka kuolewa basi punguzeni 'kujipura' kuliko pitiliza

    Utakuta mwanamke kavaa v2 thamani ya mshahara wako kwa mwez Nywele 70000,makeup 30000,nguo 150000,hand bag70000 tena hii ni ya k/koo hapo bado kucha,kia2...mweh!
Back
Top Bottom