We kumbe ni mwongo e,story zako ni za kutunga...kuna nyngne nmeiona unalalamika baba yako anaku2mia text za mapenz akdhan anam2mia mama yako ila unaogopa kusema
Hzo text ztakuharbu kisaikolojia,chamuhmu mwambie mama yako ili afkshe ujumbe kwa mumewe
Pia wamalzane kmyakmya chumban mwao kwamba mama amwambie baba acje akakuulza k2 ,yan ajione/ajiaminshe kwamba bnt yake hajui k2 chochote khs yy na mama yako
Ila pia ukmweleza mama tayar itakua imeathr wa2...
Kwann wampgie cm kumweleza mambo km hayo akat ibajulkana kuwa ni kamanda?
Je,hayuko serious na kaz yake?
Je,yuko anajchanganya sana na wa2 wasio na tja ktk nafasi alyonayo?
Utakuta mwanamke kavaa v2 thamani ya mshahara wako kwa mwez
Nywele 70000,makeup 30000,nguo 150000,hand bag70000 tena hii ni ya k/koo hapo bado kucha,kia2...mweh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.