tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,199
Wacha ujinga ww apa mjini kutamu sana foleni unazoeaUlikua Nairobi mwisho lini, hebu njoo mjini halafu ujisahau ufanye yale mazoea yenu ya Dar kutema mate ovyo, kuvuka barabara ukiongea kwa simu, kutupa taka kila mahali... Yaani Dar mjini pachafu sana mvua ikinyesha unaona kinyesi kinaelea kwenye mafuriko, mji unanuka balaa halafu ukiongeza na joto kali hadi unahisi kichefu chefu, omba yasikukute haya kama upo kwenye foleni.
Kuna hata Watanzania wanaofanya kazi mikoani kila wakitumwa Dar kwa shughuli ya siku chache huwa wanaona kama wanaadhibiwa.