mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,086
- 5,488
Operesheni peleka Bashite jela!!Serikali itende haki!
Kwa ajiri ya haki kwa watumishi hawa na watoto wao,ebu haki itendeke!
Kwa ustawi wa Chama chetu,haki itendeke!
Tunakosa ujasiri mitandaoni tunapokitetea Chama na Serikali!
UKAWA wametukalia kooni na hatupumui!
Haki itendeke!