Maandishi tu haya kwenye uhalisia tunajua hali ngumu
Mko bize kununua magari ya bil 500 ila kununua madawa na kujenga vyoo vya shule mpaka mtegemee michango ya wahisani
Vipi pesa ya covid bado ipo?
Vita za kiuchumi gani na wewe wakati malalamiko yametolewa na mwananchi wa nchi mwanachama wa BRICS China akiwemo
Tiktok na huawei wanatengeneza magari gani?
Dunia imechangamka sana badala ya jeshi letu kujikita kwenye tafiti zenye manufaa
Sidhani kama ni busara kambi ya jeshi kuwa na fremu za biashara je kiusalama ni sawa kweli
Wakipigwa ambush atalaumiwa nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.