Tundu Lissu: Makazi ya Wamasai wa Sanya Station karibu na Airport ya KIA yamevunjwa, eneo lao imepewa Kampuni ya Oman Airports

Hao ni wavamizi wa maeneo ya airport
Muwe mnaelewa maeneo ya Airport ni mali ya serikali, huwa yanakisiwa kwa umbali mkubwa, kwa hiyo siku ikitokea fursa ya kupanua uwanja, lazima wale waliojenga jenga kiholela pembezoni wote lazima waoondolewe.
Hata haya maeneo mbeleni yatakuja kuliwa tu
1715112195582.png


Unaona hapa UK haya makazi yote yanaliwa sasa hivi

1715112291696.png
 
Hao ni wavamizi wa maeneo ya airport
Muwe mnaelewa maeneo ya Airport ni mali ya serikali, huwa yanakisiwa kwa umbali mkubwa, kwa hiyo siku ikitokea fursa ya kupanua uwanja, lazima wale waliojenga jenga kiholela pembezoni wote lazima waoondolewe.
Hata haya maeneo mbeleni yatakuja kuliwa tu
View attachment 2983852

Unaona hapa UK haya makazi yote yanaliwa sasa hivi

View attachment 2983853
Mbona umeleta vitu tofauti na mleta mada heathrow airport hapo kilimanjaro iko upande gani?
 
Tundu Lissu ni mtu muhimu sana hapa nchini. Usikute hata ndani ya CCM kuna watu hawafurahii yanayotendeka kipindi awamu hii ila hawana pakusemea. Hizi nondo za Lissu wanazifurahia kiaiana.
Watanzania wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na watu wake, bila ya kujali imani zao wala vyama vyao, kila mahali wanaunga mkono hoja za Tundu Lisu. Na wengi wanampongeza kwa upeo mkubwa, ujasiri, upendo wake kwa Taifa lake na kwa watu wake.

Ni watu wachache sana, tena wale mapunguani na wanafiki ndio utawasikia wakitoa maneno ya kejeli dhidi ya Lisu. Lakini hata ukisoma maandiko yao hapa JF, namna wanavyoandika na contents za maandiko yao, unajua wazi kabisa kuwa ni MAPUNGUANI. Upunguani ni ugonjwa. Kauli za mapunguani hazistahili kupewa uzito wowote.

Wapo wanaCCM, tena waliopo Serikalini kwenye nyadhifa za juu ambao wanampongeza sana Lisu, wakiwa na matumaini kuwa mambo mengi ya hovyo kwenye Muungano na uuzaji wa rasilimali za nchi kwaajili ya maslahi ya watu fulani wachache, angalao yamepata mtu mwenye ujasiri anayeweza kuyapinga hadharani na kwa uwazi.

Tunamwomva Mungu wetu, azidi kumjalia ujasiri na hekima ndugu yetu huyu Lisu ili aendelee kuwa sauti ya wanaoonewa wakiwa wamefumbwa midomo.

Alaaniwe yeye na vizazi vyake, anayeporwa rasilimali za nchi na kuziuza kwa wageni kwa kupitia mikataba ya ajabu. Walafi hawa ka.we wasipate muda wa kusherehekea malipo yao haramu.
 
Kwanini wajenge kwenye ueanja wa ndege?

Uwanja ulikuja ukawakuta wamasai. Ndiyo maana hata ya Nyerere ilipojenga huo uwanja, iliwapa staha ya ubinadamu hawa wamasai. Ni hawa maharamia wa kiarabu wasio na utu, leo hii, zaidi ya miaka 30 tangu uwanja ujengwe, ndiyo wanaanza kuwasumbua wamasai wakiwaona ni uchafu.
 
Katoka kuwa mwanasiasa na mwanasheria mpaka kuwa mchochezi.
Mwanasiasa kweli hata akiona kasoro sehemu basi haropoki kama yeye.
Tulikuonea huruma sana ulipochakazwa risasi wakati wa Magufuli lakini huenda tukafika pahala tukasema ilikuwa hukumu ya mdomo wako.

Lisu kwa sababu anasimamia haki, wewe hata umchukie vipi, atazidi kubarikiwa, na haya maharamia yanayopora haki za watu, yatazidi kulaanika.
 
Wewe punguani, siyo sifa kuonesha ulivyo mwendawazimu.
ukweli unakukera na kukupandisha mori au mihemko 🐒

kwamba kua mercenary wa kibaraka wa mabwenyenye wa ng'ambo unajiona first class wa mihemko we right?🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Tundu Aeleze Jamii Sera za Chama Chake!

Yaani upinzani ni kuripoti vitu pety pety kama hivi?

Ongea Sera za Chama Chako kuhusu Bandari na Mambo mengine yanayohusu Uchumi na jinsi utakavyojitofautisha na Sera za CCM!

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app

Kuna sera gani iliyomuhimu inayozidi kutetea haki za wanaoonewa?

Porojo tuwaachie CCM. Wente akili wahangaike na kutetea haki za watu.

NAWAOMBA CHADEMA WAITISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA KUPINGA UNYANYASAJI WA SAMIA DHIDI YA HAKI ZA WAMASAI.
 
Kwani Nchi yetu haina utaratibu? Kwa hiyo mtu anaruhusiwa kujijengea tu popote atakako?

Kuna shida gani kama mwekezaji akipewa eneo kuliendeleza kwa ajili ya kukuza mapato ya nchi?
 
Ameandika Tundu Lissu kwenye Mtandao wa X

Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai wa Sanya Station, karibu & airport ya KIA. Lengo ni kukabidhi eneo lao kwa kampuni ya Oman Airports ya Oman. Kauza bandari & misitu yetu; anafukuza Wamasai Ngorongoro; sasa anagawa & viwanja vya ndege. Bado mnasema 'Kazi Iendelee'?

View attachment 2983748
hawa hawakuambiwa ulaghai kama wale wenzao wa Ngorongoro?
Hatimae "ustaarabu na staha" vimeota miguu, kwa nini?
 
Dhaaaaa sema kama kuna kiongoz alie onea wananchi WA walalahoi na wasio jiweza bas n huyu awaamu ya 6

Sio poah kabisa mwanamke katili Sana
Sasa piga picha uwe naye, au wa aina yake nyumbani kwako. Kila siku unalizwa.
 
Back
Top Bottom