baada ya kujaza taarifa zako zote fungua sehemu ya Search Jobs, ukiexpand kwenye post uliyoomba utaona sehemu ya ku_attach certificates, CV na Cover Letter na hatimaye kutuma maombi
Karibuni tupeane Updates kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa TRA, tusaidiane jinsi ya kujaza form na kukamilisha maombi kwa pamoja.
Wasilisha hapa changamoto unayokutana nayo katika kufanya maombi yako, kisha wadau watakuja hapa kutoa msaada. karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.