Nimejisajili ,ila changamoto sioni pa ku-attach certificate na hata ukijaribu kuomba inakurudisha home page yao ya kujaza detail zako .
Sasa sijui nakosea wapi, naombeni mnisadie
Kila kitu kutokana na maelekezo yao nimefanya ,kama wewe utakuwa umefanikiwa nisaidie tafadhaliUsikute kuna kitu hujakamilisha kujaza tazama ten
baada ya kujaza taarifa zako zote fungua sehemu ya Search Jobs, ukiexpand kwenye post uliyoomba utaona sehemu ya ku_attach certificates, CV na Cover Letter na hatimaye kutuma maombiNimejisajili ,ila changamoto sioni pa ku-attach certificate na hata ukijaribu kuomba inakurudisha home page yao ya kujaza detail zako .
Sasa sijui nakosea wapi, naombeni mnisadie
Ahaaa kumbeusitumie chrome naona mfumo wao wametengeneza kwa aspx ya microsoft nahisi kuna ishu hazipo sawa kwa chrome tumie edge au mozilla
nimetumia crome ipo poa na nimemaliza link yao yenyewe ukiicliki inalazimisha kufungukia crom kama ipo kwenye pcusitumie chrome naona mfumo wao wametengeneza kwa aspx ya microsoft nahisi kuna ishu hazipo sawa kwa chrome tumie edge au mozilla
Kwa hili nafanyaje maana nimejaza ila bado inaniambia hivyoJana usiku nimeingia kwenye portal yao nikajaza taarifa zangu kadhaa na nikaomba post ambayo sina hata vyeti vyake na maombi yameenda fresh.....
nimetumia crome ipo poa na nimemaliza link yao yenyewe ukiicliki inalazimisha kufungukia crom kama ipo kwenye pc, ninao
naomba link mkuunimetumia crome ipo poa na nimemaliza link yao yenyewe ukiicliki inalazimisha kufungukia crom kama ipo kwenye pc
Sorry kiongozi nashindwa kukujibu hapa maana hiki kitekno kangu kanashindwa kuonesha hizi picha zinazokuwa znapandishwa hapa JFKwa hili nafanyaje maana nimejaza ila bado inaniambia hivyoView attachment 2642329
shukrani sana kwenye email inagoma nkiweka password zanguhttps://www.tra.go.tz/images/uploads/Laws/JOB_ADVERTS22.pdf NDANI YA HIO PDF NDIO KUNA LINK
picha tunaweka sehemu gani wakuu?