Ndugu zangu hii siyo love bite kweli?

Akimgusa tu na yeye anakua kama alivyo mgonjwa
Siyo maneno yangu ni maneno ya Depal
,,,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ni kweli kabisa maana ni sawa na mii niligusana na alie shambuliwa na nyuki daaah nilichokipata πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ..
Nikajua ni kwa nyuki tuu kumbe ipo hadi kwa hawa waduduπŸ˜‚πŸ˜‚
 
IMG_6768.jpeg
 
Back
Top Bottom