Tangu siku ya kwanza kuwekwa hizo taa na kuanza kuongoza magari watu tuligundua ni shida tupu na kuleta jam njia ya saut haina magari mengi labda boda ambao hawajali hizo taa, pale hapakua na ulazima wa kuweka taa wamezingua kinyama na kuleta jam uchwara
Mara nyingi naona watu wanasisitiza mtu aanze kujipenda mwenyewe kabla hajapenda wengine
Ni kwa namna ipi utasema au kuprove kwamba hapa najipenda mwenyewe yani ufanye vitu gani vinayothibitisha kujipenda wewe kama wewe na kujipa kipaumbele??
Hapa kitaa kuna single mama ana watoto 4 watatu baba mmoja mmoja baba mwingine
Single maza huyu ana umri wa miaka 37 tu ni mjasiria mali. Kwa kuwa bado ni dogo dogo nikaona nimtie vokali niwe najipoozea kimtaa mtaa meshakubali
Na tayari nimemchakata. Ila chamgamoto niliyogundua bado...
Somo ulijichanganya sana lijanamke limezalishwa watoto wawili tena baba tofauti nawe ukaenda kuloweka hapo hapo na kumtia mimba nyingine ulitegemea nini hapo umeyatimba asee na utapata tabu sana usipokua na roho ngumu
Hawa washenzi kama wameambiana nimezungunzia mia kama hela yao ya kwanza kuomba ila suala la mia mbili nikupe jero hata huku Mwanza ndo tabia yao. [emoji849]
Hili ongezeko la nauli limekuwa kero sasa na Makonda wanacheza na mziki wa viongozi wa LATRA ambao wao wana matumbo ya kushiba na familia zao
Huku Mwanza sijaona faida ya LATRA kuongeza nauli zaidi ya kero ya kuombwa shilingi mia mia " una mia hapo " ndo kauli za makondakta wa daladala za...
Acha uboya kiumbe wa kiume asiechepuka ni Mbwea na njiwa tu hao ndo huwaga na jike mkoja tu mpaka kufa
Tafuta mchepuko piga mashine ikiwezekana uwe unalala huko huko unarudi home asubuhi na usimpe attention huyo mke wako atazidi kukupanda kichwani
Anakubania uchi wengine anawapa wanamgeuza...
Nchi hii ya Tanzania baada ya uchaguzi wa mwaka 2020 chini ya mwendazake majimbo yote yalikua chini ya CCM likiwemo hili la Nyamagana chini ya uongozi wa Stanslaus Mabula.
Huyu mbunge sijui kama yupo hapa Mwanza. Barabara nyingi za jimbo lake hasa maeneo ya pembeni ambayo kimsingi ndio yana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.