Mke wangu hanipi haki ya tendo la ndoa, kila siku amechoka

Mimi ni mwanaume nimeoa, ndoa ina miaka mitano sasa. Mke wangu amebadilika sana, amekua ni mtu wa kila siku usiku yeye analalamika tu amechoka, na akiingia kitandani ni skeunde 10 tu amelala. Kuna kipindi nikawa nalazimishia, ikawa kama nambaka, anatanua tu miguu nafanya yangu, hadi namaliza.

Hii tabia inanikera sana, ila yeye haoni kama ni kero. Hii hali imeanza kwa muda wa miaka mitatu sasa, kabla ya ndoa wakati wa uchumba hakua na tabia hii, labda kwa vile alikua anakuja tu sleep overs za weekend chache chache.

Imekua ni shida kubwa sana kwenye ndoa yetu, tunagombana mara nyingi sababu ya hili, ila yeye anajiona hana makosa, analalamika tu kuwa napenda sana ngono, nataka ngono kila siku kama chakula. Yaani saa zingine usiku huwa namuangalia akiwa amelala kitandani, natamani nimchape mangumi, au hata nimfunike na mto afie mbali huko!!

Kuna kipindi niliamua kama kumpa adhabu nione kama anajielewa, sikumgusa karibu mwezi mzima, naingia zangu tu kitandani nalala bila kumgusa wala kumsumbua.

Cha ajabu, hata hakushtuka na kuona hiyo ni hali ya hatari, mwezi mzima tulilala bila kufanya chochote na bila hata yeye kushtuka wala kusema chochote. Mimi sio mtu wa kuchepuka kabisa kiasili, ni mtu wa kukaa na mwanamke mmoja.

Sasa kwa hatua iliyofikia, ninachopanga kichwani kwangu atakuja kushtuka wakati ameshachelewa sana, namtafutia dawa yake, atakuja kujuta. Wanawake acheni huu ujinga, mnavunja ndoa zenu kwa mikono yenu wenyewe.
Utakuwa humkojozi Kuna mtu kakusaidia hiyo kazi akisex na wewe anahisi kusex na mnyama
 
Acha uboya kiumbe wa kiume asiechepuka ni Mbwea na njiwa tu hao ndo huwaga na jike mkoja tu mpaka kufa

Tafuta mchepuko piga mashine ikiwezekana uwe unalala huko huko unarudi home asubuhi na usimpe attention huyo mke wako atazidi kukupanda kichwani

Anakubania uchi wengine anawapa wanamgeuza wanavyotaka. Tafuta mpango wa kando huyo mtemeeee
 
inawezekana kabisa ...

inatakiwa ufanye upembuzi yakifu.
.anza kwa ku hack simu zake .

uone kama huchapiwi?!
halafu angalia mawasiliano yake na marafiki zake wa karibu au ndugu... uone kama hana msongo wa mawazo..


kama vyote ni negative.. jitafakari wewe.. una hisi wapi ume kosea . na ubadilike ..
Nilishafanya uchunguzi wa simu zake na kufuatilia nyendo zake, sikukuta red flag yoyote.
 
Basi labda humfurahishi kabisa kitandani,huenda unakojoa haraka dk 1 tu,hivyo kashaona haina haja.Lakini atakuwa anafidia ama nje ama masturbation.Jitafute,maana kama dk 1 umemwaga jua hata huyo wa nje utayempata(ukiamua) ; atakuvumilia siku mbili tatu halafu anaanza visababu.
Mimi sio mwanaume wa dakika 1 mkuu, plus huyu mwanamke mimi ndo niliyembikiri, hivyo hana uzoefu kiasi hicho.
 
Acha uboya kiumbe wa kiume asiechepuka ni Mbwea na njiwa tu hao ndo huwaga na jike mkoja tu mpaka kufa

Tafuta mchepuko piga mashine ikiwezekana uwe unalala huko huko unarudi home asubuhi na usimpe attention huyo mke wako atazidi kukupanda kichwani

Anakubania uchi wengine anawapa wanamgeuza wanavyotaka. Tafuta mpango wa kando huyo mtemeeee
Sawa mkuu
 
Physical wounds hurts and heals quickly but emotional wounds hurts like hell and takes a lot of years to heal

Mpaka utakapokuja kushtuka na kuamua kuchukua uamuzi mgumu tayari utajikuta kwenye square one

Madhara ya tatizo lako ni makubwa na huwezi kuyaona kwa sasa directly ila baadaye utakuja kujuta muda uliopoteza

Hakuna kitu kibaya kama kushuka kwa ufanisi wa kazi zako, kazi ndiyo msingi wa maisha, bila kazi nzuri hata huko kuoa utakusahau lakini kazi yako iking'aa wanawake wenyewe watakutongoza mpaka utawakimbia

Sasa wewe endelea kuendekeza mapenzi badala ya kuheshimu kazi utajua hujuwi muda si mrefu
Umemaliza kila kitu. Hapo nikibisha itakua ni kukaza shingo tu. Wacha nijitafakari mkuu.
 
Mkuu kabla ya kuanza kumtuhumu mkeo nadhani uanze kujichunguza wewe kwanza, huenda una vitabia havipendi au umestack sana kimaokoto.. .. ukweli mchungu ni kwamba mwenzio Hana hisia na wewe that's why anakupakulia tu hatoi ushirikiano.. jitahidi kumjenga kihisia kwanza nje ya ulingo yaani akutamani yeye .. mazungumzo yenu hata Yale ya kawaida jitahidi yawe Bora zaidi sio Bora mawasiliano
 
Mimi sio mwanaume wa dakika 1 mkuu, plus huyu mwanamke mimi ndo niliyembikiri, hivyo hana uzoefu kiasi hicho.
Sawa. Anafikaga mwisho (mshindo).Kama hafiki kwanini?Au labda kwa ubikra huo hajafungua moyo kupeleleza mautamu kutoka kwako so hajaipata vizuri sayansi ya ku do? Kama ndivyo basi una nafasi ya kumfanya ajiamini na kulipenda tendo.
 
Sawa. Anafikaga mwisho (mshindo).Kama hafiki kwanini?Au labda kwa ubikra huo hajafungua moyo kupeleleza mautamu kutoka kwako so hajaipata vizuri sayansi ya ku do? Kama ndivyo basi una nafasi ya kumfanya ajiamini na kulipenda tendo.
Ndio, huwa anafika mwisho, na tukifanya akitoa ushirikiano huwa anaonyesha kufurahia tendo na anafika mwisho kabisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom