Wamekua Kama watoto wa Enzi za miaka ya 2006 anakusalimia shikamoo pole pole na kazi NAOMBA HELA
Mwanamke akikusalimia Leo ukajibu salamu yake kinachofuata naomba 5,000Tsh inakera sna tena mwingine ndio hapo hapo
1. Anakua yatima
2. Anakua ananjaa
3. Kodi ya nyumba
4. Luku imeisha...
Habairi wana JF, Pasi na Shaka Mwaka ndio unaisha, na kila mtu ni wakati wa kujitathimini mafanikio, kasoro na mapungufu mbalimbali katika kutekeleza mipango aliyojiwekea mwenyewe mwanzoni mwa MWAKA.
Katika mipango yangu sijafanikiwa kuoa na Nina miaka 33 na sifa zifuatazo
1. Mrefu sio mweusi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.