Tatizo la wanaume wa siku hizi HAMTAKI kazi lakini mnataka kuishi kwa kula bata.TAFITI
Mbali na wanaume wengi kuyakimbia majukumu yao ya kifamilia. Asilimia 80 ya wanawake wa Kitanzania ni OMBA OMBA
Tatizo la wanaume wa siku hizi HAMTAKI kazi lakini mnataka kuishi kwa kula bata.
Tangu zamani wanawake siku zote "wanapenda" wanaume "MASTAR" wa kitu chochote.
- Mfalme auPrince wa ENEO husika.
- Mpiga kinanda mtaalam kanisani
- Mwenye uwezo mzuri kiuchumi
- Shujaa aliyeua simba au aliyeshinda pambano.
Sasa ninyi viana wa INSTAGRAM mmekuwa mdebwedo, hamtafuti, mnakwepa majukumu yenu kazi kulaumu WANAWAKE KILA SIKU.
Nanukuu tena!Mwanaume kama una jina basi wewe ni mzigo kwa mkeo. Mwanamke anataka kitu cha kujivunia kwa wenzake, kama sio HB, basi uwe na pesa, uwe na kipaji cha kutisha, uwe mbabe wa mtaa, uwe na sifa yoyote tuu ilimradi. Wanawake hawapendi watu mapopoma
Huo ndio ukweli HALISI.Mwanaume kama una jina basi wewe ni mzigo kwa mkeo. Mwanamke anataka kitu cha kujivunia kwa wenzake, kama sio HB, basi uwe na pesa, uwe na kipaji cha kutisha, uwe mbabe wa mtaa, uwe na sifa yoyote tuu ilimradi. Wanawake hawapendi watu mapopoma
Nanukuu tena!
"Wanawake hawapendi watu mapopoma"!
Ngoja Mimi kesho nianze kwenda gym niwe mbabe wa street
TutakubondaNanukuu tena!
"Wanawake hawapendi watu mapopoma"!
Ngoja Mimi kesho nianze kwenda gym niwe mbabe wa street
Nanukuu tena!
"Wanawake hawapendi watu mapopoma"!
Ngoja Mimi kesho nianze kwenda gym niwe mbabe wa street
Ukumbuke tu,Nanukuu tena!
"Wanawake hawapendi watu mapopoma"!
Ngoja Mimi kesho nianze kwenda gym niwe mbabe wa street
TAFITI
Mbali na wanaume wengi kuyakimbia majukumu yao ya kifamilia. Asilimia 80 ya wanawake wa Kitanzania ni OMBA OMBA
anakwambia wanawake wamekuwa ombaomba, haijalishi wewe ni bouncer, diamond, mwendesha mkokoteni, muuza nyanya jua utaombwa hela na wanawake, rudia tena akivyoandika mwenzio!Nanukuu tena!
"Wanawake hawapendi watu mapopoma"!
Ngoja Mimi kesho nianze kwenda gym niwe mbabe wa street