nnakama kaweek iv..nipokeen wenyej..na hngeren kw michango mizur ya maisha kw ujumla..ni mahal pazur huwez kutoka empty,nmechungulia kwa wik..nmenufaika..god bls u
hello members am new here! katika jamii forums kabla sijajiunga nimeweza kuangalia sehem nne, nazo ni jamii intellgnce,jukwaa la siasa,MMU na matangazo na hoja mchanganziko. ila katika sehem zote...
Heshima yenu wakuu...ni matumaini yangu tunaendelea kujenga taifa letu kwa pamoja huku kwa kiasi kikubwa tukisaidiana maumivu haya ya makali ya maisha yanayosababishwa na wachache waliovimbiwa...
Hodi wanamagreat thinkers!
Mie ni mgeni kabisa wa hili jukwaa! Sio kwamba Leo ndo mara yangu kuliona ila namaanisha kushare ideas! Nimechoka kuwa msomaji ngoja na mie nijipatie ka-id ili tupeane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.