Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
Hodi wanamagreat thinkers!
Mie ni mgeni kabisa wa hili jukwaa! Sio kwamba Leo ndo mara yangu kuliona ila namaanisha kushare ideas! Nimechoka kuwa msomaji ngoja na mie nijipatie ka-id ili tupeane mawazo!
Rai yangu ni kwamba ktk kuijenga nchi masikini kama Tanzania tusitegemee chama chochote cha siasa bali ni sie wenyewe kujitambua! Kama tutajitambua basi itatakuwa rahisi sana kwetu kupata viongozi bora wa kuijenga nchi yetu bila itikadi!
Mungu ibariki Tz!
Mie ni mgeni kabisa wa hili jukwaa! Sio kwamba Leo ndo mara yangu kuliona ila namaanisha kushare ideas! Nimechoka kuwa msomaji ngoja na mie nijipatie ka-id ili tupeane mawazo!
Rai yangu ni kwamba ktk kuijenga nchi masikini kama Tanzania tusitegemee chama chochote cha siasa bali ni sie wenyewe kujitambua! Kama tutajitambua basi itatakuwa rahisi sana kwetu kupata viongozi bora wa kuijenga nchi yetu bila itikadi!
Mungu ibariki Tz!