Naomba msaada.. Hapa kwangu kupitia Dishi siipati star tv ni mda sasa.. 2saidiane hapo ni kwamba haipo kwenye Frequency setelitte ama..
Msaada tafadhali 2nakosa vipindi Bomba..
wakuu wenye ujuzi na hili jambo nilikuwa naomba msaada wenu ni vipi naweza kutumia huawei ascend y300 kama modem ili niweze kuendelea kula bata sababu tokea basi letu limepata pacha ni balaa tupu...
wadau mi nimtumiaji mpya wa dstv baada ya kuona vingamuzi vingne ni mizigo kwangu. Nije kwenye tatizo baaada ya jana kulipia tena nimeshangaaa kila napowasha sioni channel yoyote na inaniambia...
Habar wana jf.. Nina simu aina ya htc merge ambayo ilianza ghafla kunisumbua.. Nilikua nikiiwasha inaonesha maandishi ya htc then inaishia kuonesha mwanga mweupe.
Nilipeleka kwa fundi akaifomat...
hello,
Naombeni msaada kwa anaejua kuhusu usb tethering,
Nataka kushare internet ya laptop kny simu yangu, nmedownload "easy tether lite app" kny simu na kny laptop lakini matokeo yake siwezi...
Hii kitu tumeinjoy buree features zote lakini tangia jana..Bure no more.... ambapo developer kaachia latest version kutoka v4.92 to v4.95,HIDING LAST SEEN needs u to pay.
Na wewe ni mhanga wa hii...
nahitaji kununua king'amuzi, sijui kinauzwa sh. Ngapi? Na sijui gharama za kuunganishiwa? Na kipi ni kizuri au bora kati ya ving'amuzi vinavyopatikana tz (star times, zuku etc). Msaada jaman...
ust lastyear blackberry listed out some new features to include in the next BBM update. Some of this features which includes BBM channels , new and improved emoticons and voice notes were...
Wakuu naomba msaada airtel internet imenigomea inasema your request was terminated before reaching remote computer error 106 naomba msaada!
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Windows XP, Service Pack 3Extended Support ends April 8, 2014
Windows 7, Service Pack 1Mainstream Support ends January 13, 2015
Windows 8Mainstream Support ends January 14, 2018
Windows Server...
Habari wana jf!
Nahitaji hdd ya desktop 320gb sata iwe mzima kwa ku install windows. offer yangu ni 30,000/= mwenye nayo anichek kwa namba hii 0716-844978 au ni pm.
kwa walio DSM tu.
Naombeni msaada,
nina tatizo kny laptop yangu ninaposearch kitu online page nyingi zinafunguka kwa pamoja, nyingi ya hizo page zinakuwa ni advertisemnts, hivyo searching inakuwa very slow...
katika arakati za kuulizia online bei za galaxy s4,note 2 na 3 ambapo nliambiwa izo bidhaa zipo Egpty
bei ni
Note 3 cost $350, Note 2 cost $250 and the S4 cost $300
na nkaambiwa n freeshipping ad...
Tafadhali waungwana, kuna mtu ameformat external ya ofisi na inadata za muhimu sana. Nahitaji mwenye kujua wapi(site) nitapata software nzuri yenye code kabisa maana kila niliyopewa inadai...
Nina dell optiplex 745. Jana niliiwasha ikaanza kuboot, baada ya dakika moja fan speed ikaanza ongezeka, nikaizima, nikipowasha tena haikuwaka ila ina-blink mwanga wa kijani kwenye switch button...
Wadau nimeiflash hii simu tatizo limekuja baada ya kui flash nikiwasha ina vibrate kidogo haiendelei kuwaka na hata logo ya nokia haitokei nifanyeje wadau ,kama kuna mtu na file lake ambalo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.