KENYA: Idadi kubwa ya Wanawake wameandamana katika Miji 11 ya wakipinga kuongezeka kwa Vitendo vya Ukatili Dhidi yao yakiwemo Mauaji mfululizo yaliyoripotiwa kati ya Desemba 2023 hadi Januari...
Kenya yasema Ugonjwa wa Red Eye ulioripotiwa kusambaa kwa kasi nchini Tanzania na kuripotiwa Kesi zaidi ya 800 sasa umeyakumba maeneo ya Pwani ya nchi hiyo yakiwemo Mombasa na Kilifi
Hadi sasa...
Waziri wa Mambo ya Nje, Musalia Mudavadi, amekanusha ripoti za kuwa Kenya ina uhusiano mbaya na majirani zake, licha ya mizozo kadhaa iliyotokea hivi karibuni ambapo alisisitiza inatatuliwa...
Mahakama Kuu ya Kenya imezuia Serikali kupeleka Askari kupambana na magenge Nchini Haiti
Mahakama imeeleza kuwa hatua ya kupeleka Askari Polisi ni kinyume cha Sheria kwa vile Baraza la Usalama la...
#KENYA: Mahakama ya Rufaa imeongeza amri ya kuzuia Serikali isikusanye Kodi Maalum ya Ujenzi wa Nyumba ambayo ni kati ya zinazotekelezwa kupitia Sheria ya Fedha ambayo imelalamikiwa na kuongeza...
Mnamo mwaka 2020 Gavana wa Machakos Dkt. Alfred Mutua alizindua makao makuu mapya ya kaunti hiyo. Jengo hilo jipya, ambalo linafananishwa na Ikulu ya Marekani - lilifunguliwa rasmi Jumatano, Mei...
Nchi ya Kenya ukiondoa labda Mombasa, ilikosewa uanzishwaji wake, walioianzishwa (Wazungu) hawakujali tofauti kubwa ya Kiutamaduni ya watu waishio nchini humo, ikumbukwe kwamba nchi ya Kenya...
Kulingana na ripoti ya jukwaa la habari za biashara nchini Kenya, BusinessDaily, IMF ilifichua kuwa Kenya ni miongoni mwa wakusanyaji wakuu wa mapato yake kwani benki hiyo inapanga kupata...
Common questions prospective clients ask before making the switch to solar in Kenya:
Can solar panels work without direct sunlight?
Will the solar panels work on cloudy days?
Will the solar...
KENYA: Siku chache baada ya kushtakiwa kwa Makosa ya Ugaidi, Mchungaji Paul Nthenge Mackenzie, mke wake pamoja na Wasaidizi wake 94 wameshtakiwa kwa mauaji ya kutokusudia ya Watu zaidi ya 400...
Wakenya kwenye kuzidisha uzito kwenye mizani Barabarani wana sheria kari mno, unaweza jikuta unaacha gari pale.
Fikira lori kuzidiaha uzito unapigwa faini ya Ksh Milion 47 hizo ni around Million...
Kenya Seeks Aid From Tanzania Amid Shortage Of Tuberculosis Drugs
By Stephen Letoo
Published on: January 05, 2024 08:30 (EAT)
Health Cabinet Secretary Wafula Nakhumicha says Kenya has sought...
Mtu mmoja ambaye hakupatikana na hatia katika shambulio la kigaidi la West Gate nchini Kenya ametekwanyara alipokuwa akielekea nyumbani.
Vyombo vya habari nchini Kenya vimeripoti kwamba Liban...
MAMLAKA ya Kusimamia Vyakula na Dawa (FDA) imependekeza bangi kuorodheshwa upya kama dawa yenye kiwango cha chini cha madhara.
Hii ni baada ya wanasayansi kubaini kwamba bangi ina uwezo wa chini...
The Communications Authority of Kenya (CA) has issued warning notices to Airtel and Telkom Kenya for non-compliance with the Quality of Service (QoS) standards offered to consumers on their mobile...
Nchi ya Kenya inatafuta kujiondoa katika makubaliano ya Serikali kwa Serikali (G2G) na Saudi Arabia ikieleza kuwa inaleta upotoshaji kwenye soko la ubadilishaji wa fedha na kukiri kwamba imekosa...
Nchi ya Kenya inatafuta kujiondoa katika makubaliano ya Serikali kwa Serikali (G2G) na Saudi Arabia ikieleza kuwa inaleta upotoshaji kwenye soko la ubadilishaji wa fedha na kukiri kwamba imekosa...
Kenya’s economic performance strengthened in 2023 with the GDP accelerating to about 5.4 per cent from 4.8 per cent in 2022.
This is according to the latest edition of Kenya Economic Update by...
Nairobi, Kenya.
Mnamo Aprili mwaka jana, kiongozi wa kundi la dini nchini Kenya, Paul Mackenzie, alikamatwa baada ya zaidi ya watu 400 kugunduliwa wamekufa na miili yao kuzikwa kwenye makaburi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.