Jamaa amejituma balaa hadi kuwabwaga washindani wenzake kumi waliokua wameteuliwa kupokea hiyo tuzo la mwalimu bora duniani. Atapokezwa kitita cha Kshs 100 million, hela ndefu sana hii...
Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Balozi Kazungu amezungumza na vyombo vya habari ili kuweka mambo sawa. Balozi kazungu amesema...
Rais Kenyatta amenituma hapa, anasema Kenya haiiangalii Tanzania...
Madaktari wawili kutoka nchini Cuba waliotumwa kufanya kazi kwenye Kaunti ya Mandera kilomita 810 kutoka jijini Nairobi wametekwa nyara na washukiwa wa Al-Shabab katika mji wa mpakani wa Mandera...
On a Facebook post the President is said to have witnessed the destruction of contraband, counterfeit, and illicit products worth 1.5 billion shillings.
Also before the destruction of said " 1.5...
Mahakama Kuu Kenya imesimamisha uendeshaji wa kesi ya ufisadi dhidi ya Naibu Jaji Mkuu Philomena Mwilu.
Mwilu amewasilisha ombi katika mahakam hiyo akiomba asijibu mashtaka ya ulaghai, utumiaji...
Uganda na Tanzania zaingia mkataba kurahisisha mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizo mbili. Nchi hizi zimekubaliana kuondoa vibali vya biashara kwa yabiashara wanaotaka kuingia ndani na nje...
Uganda na Tanzania zaingia mkataba kurahisisha mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizo mbili. Nchi hizi zimekubaliana kuondoa vibali vya biashara kwa yabiashara wanaotaka kuingia ndani na nje...
IN SUMMARY
The plan targets innovators churning out digital solutions that address challenges and strengthen the continent’s digital economy.
Nailab is set to work closely with the Jack Ma...
Petrol price to hit Sh130 as VAT charge kicks in
FRIDAY, AUGUST 10, 2018 9:58
BY BRIAN NGUGI
Nairobi motorists will pay a record Sh130.15 per litre of petrol or about Sh17.9 more beginning next...
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha ukanda wote wa pwani zimeleta balaa huko Kenya.
Kuna bwawa likajaa maji kupindukia na hatimaye likapasuka.
Wimbi la maji limewaua watu 20 na kujeruhi wengine 39...
Bweni la wasichana huko Kenya limeteketea kwa moto, Chanzo cha moto bado hakijajulikana. Mpaka sasa hakuna taarifa za aliyepoteza maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.