Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

KENYA: Mahakama Kuu imetoa uamuzi kuhusu Haki za Msingi za Wafungwa katika maisha ya kawaida na kuamuru kuwa Wafungwa wote nchini humo wanapaswa kupewa Haki kama Binadamu wengine ikiwemo Haki ya...
1 Reactions
9 Replies
563 Views
MONDAY 15TH AUGUST 1640Hrs We have intelligence reports that their system was penetrated and hacked and that some of the IEBC officials actually committed electoral offences and some of them...
10 Reactions
4K Replies
290K Views
Hayati Membe aliwahi Kulalamika kuwa Shujaa Magufuli hakuridhia Yeye akagombee nafasi ya juu kule Jumuiya ya Madola na hivyo Tanzania tukapoteza Hapo Kenya mahasimu Wawili Rais Ruto kinara wa...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Ukiuliza wananchi ambao wako bize kusifia nchi jirani, basi ni watanzania, yuko tayari asifie Rwanda, Uganda na kila mahali, lakini yuko tayari kudharau nchi yake. Haya sasa, hata Kenya matatizo...
2 Reactions
20 Replies
767 Views
Kutokana na kuongezeka kwa ripoti za vitendo vya uhalifu ikiwa ni pamoja na kesi za mauaji, katika nyumba za makazi maarufu kama (AirBnB) na Hoteli Mamlaka ya Udhibiti wa Taarifa Binafsi imetoa...
2 Reactions
10 Replies
942 Views
Waziri mmoja wa Kenya amesema wameamua kuwashughulikia Vyeti Feki kama ilivyofanya Serikali ya Tanzania ila wao wataenda mbele zaidi kwa kuwafikisha mahakamani na kufungwa pamoja na kulipa fidia...
7 Reactions
44 Replies
1K Views
Vyombo vya usalama na makampuni ya simu wanaweza kutumia teknolojia kupata mahali ulipo kwa madhumuni mbalimbali. Katika mazingira ambayo teknolojia ya kidijitali yanabadilika kila wakati, uwezo...
0 Reactions
5 Replies
463 Views
MWALIMU wa shule ya sekondari kutoka kijiji cha Nthangathiri, Kaunti ya Embu, alijitia kitanzi ndani ya nyumba yake baada ya mpenzi wake wa pembeni kumtema. Marehemu aliyetambulishwa na polisi...
8 Reactions
61 Replies
3K Views
Katika kisa kilichoshangaza katika eneo la Kirinyaga nchini Kenya, watu 17 wamepoteza maisha baada ya kunywa pombe haramu ambayo inadaiwa waliuziwa na maafisa wa polisi. Tukio hilo limetokea...
0 Reactions
6 Replies
293 Views
Natoa angalizo.. viongozi wa Kenya na other parasites mnajua kinachoendelea Eastern DRC we want peace and stability. Tunajua biashara yeyote inayofanyika kati ya E.drc , rwanda kwa sasa most of it...
2 Reactions
5 Replies
459 Views
Kenya na Toyota Tsusho Corporation ya Japani wametia saini makubaliano ya mfumo wa ushirikiano katika utengenezaji wa magari na maendeleo ya nishati mbadala. Makubaliano hayo yatawezesha Toyota...
0 Reactions
10 Replies
968 Views
Baadhi ya Vijana wamezuiliwa kushiriki katika zoezi la uajiri katika Shirika la Vijana la Serikali la National Youth Service (NYS) kwa sababu ya kuwa na michoro kwenye miili yao hata baada ya kuwa...
5 Reactions
89 Replies
2K Views
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu Matumizi ya Bajeti Zilizorekebishwa, imefunua jinsi serikali ilivyotumia bilioni 147 za shilingi bila idhini ya Bunge la Kitaifa...
0 Reactions
4 Replies
237 Views
Shirika la Umeme la Kenya Power limetangaza nafuu ya punguo la bei ya Umeme kwa Wakenya baada ya kupunguza tozo za tokeni katika ukaguzi wa hivi punde wa bei ya umeme. Katibu Mkuu wa Nishati Alex...
0 Reactions
2 Replies
334 Views
Kenya inaongozwa na mfumo wa kibepari huku tanzania tumepitia mfumo wa ujamaa.Cha kushangaza wenzetu Kenya ni wazalendo sana kwenye nchi yao hasa linapokuja swala la uraia au mtu anapoishambulia...
0 Reactions
26 Replies
956 Views
Kumbe Kiongozi anapopokea Madaraka na kukuta nchi ilikuwa inaliwa na mafisadi kila kona ni lazima kiongozi huyo aoneshe mbinu binafsi za kunusuru Taifa. Magufuli alikuwa haingilii Mahakama kabisa...
2 Reactions
2 Replies
440 Views
Rufiji Hydropower Project The 2,100MW Rufiji hydropower project is being built on the Rufiji River in Stielger’s Gorge, Selous Game Reserve of Tanzania. With a gross output of 5,920GWh, the plant...
4 Reactions
506 Replies
59K Views
Rais wa Kenya William Ruto Jumamosi amewalaumu maafisa wa serikali kwa uzembe na rushwa kufuatia mlipuko mbaya wa gesi uliotokea jijini Nairobi na kuua watu watatu na kujeruhi wengine 280. Lori...
0 Reactions
3 Replies
513 Views
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki katika kijiji cha Mradi, mtaa wa Embakasi, mjini Nairobi baada ya mtambo wa gesi kulipuka muda mfupi kabla ya sita usiku wa Alhamisi, na kuliingiza jiji katika...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom