Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Kwa sasa Waziri pekee mwenye nyota kali inayomzidi hata namba moja ni January Makamba. Mwanzoni tulidhani tukimuweka kwenye wizara ya Muungano na Mazingira,nyota ya mwanamama,nguli wa siasa za...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania: Authorities rushing to pass bill to further repress human rights 21 June 2019, 20:46 UTC Tanzania’s parliament this afternoon begun deliberating a bill which, if passed into law, would...
1 Reactions
0 Replies
480 Views
  • Redirect
Pierre na wabunge wamerudi bila kushika ngoma kuishangilia Taifa Stars na hatimaye kufungwa 2-0. “ Makonda umesema ukienda Misri Taifa Stars tutashinda kutokana na motisha ya ushangiliaji, panda...
1 Reactions
Replies
Views
Tunapozungumzia maendeleo ya watu badala ya maendeleo ya vitu, CCM na wapambe wa Rais Magufuli huwa hawaelewi kabisa. Trevor Noah kutoka The Daily Show with Trevor Noah anamhoji mkurugenzi wa...
7 Reactions
47 Replies
3K Views
Maendeleo hayana chama. Hapa Kazi Tu! Uchaguzi Mkuu 2020 wapiga kelele wote huo ndo mwisho wao, hatutaki kuwapotezea wananchi muda wa kufanya kazi. Nitashangaa sana wananchi watakaowachagua...
10 Reactions
96 Replies
12K Views
BULEMBO AMPA MUSIBA SIKU 7 “SIWEZI KUCHONGANISHWA NA MAGUFULI anasema Mara Nyingi ukiwa mstaafu unapaswa kukaa kimya ila kwa hili sitanyamaza, kuna Gazette moja linaitwa Tanzanite limesema kikao...
7 Reactions
77 Replies
13K Views
Tanzania imetia saini mkataba wa kupatiwa fedha za msaada wa Sh60 bilioni kutoka Serikali China bila ya masharti yeyote ambapo Serikali ya Tanzania itaamua matumizi yake katika miradi mbalimbali...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa mswada wa sheria unaopelekwa Bungeni tarehe 27/6, (MSWAADA WA SHERIA NAMBA 3 WA 2019), kama utapitishwa kuwa sheria, watengenezaji au wazalishaji wa movies wanatakiwa kupeleka picha...
3 Reactions
36 Replies
4K Views
Kwa muda wa miaka sasa Ubalozi wetu Ujerumani umekuwa kama boma la mmasai kuanzia jengo na hata watumishi wake .Ubalozi huu ni mmoja kati ya Balozi kubwa lakini ukifika utadhani si Ubalozi wenye...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Jana nimemskia Mh. Zitto akijenga hoja kuwa wapo Watanzania wenye Dini na wasio na Dini. Akaendelea kusema kuwa wanasiasa wengi wamekuwa na tabia ya kufungua hotuba zao kwa kusema Bwana asifiwe...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu zangu, Leo Ni Tisa Disemba. Ni Siku yetu kuu kusheherekea Uhuru wetu. Tumetimiza miaka 55 ya uhuru. Tuna kila sababu za kusheherekea. Nitapenda niweke hapa simulizi ya kihistoria yenye...
9 Reactions
140 Replies
18K Views
Yapo mengi sana ambayo yaliahidiwa na CCM na Mgombea wake ndg JPM katika kampeni za uraisi 2015, lakini cha ajabu ni kwamba yaliyoahidiwa hayatekelezwi. Suala la Katiba mpya ni miongoni mwa ahadi...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Shabaha yetu ya kwanza ni kukamata madaraka ya nchi, huku shabaha ya ccm ni kudumisha madaraka waliyonayo. Hivi ndivyo siasa za karne ya 21 zilivyo. Chama kisicho na malengo ya kushika dola hicho...
1 Reactions
4 Replies
843 Views
Naibu Waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara akijibu maswali katika kikao cha Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020, jijini Dodoma , alisema Ili kuondoa hali ya mkanganyiko katika jamii...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani Rais Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujenga miundombinu ya Uchumi wa Nchi, ameweza kujenga na kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na ameweza...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Masauni amesema serikali iko katika hatua za mwisho za kurekebisha sheria ya usalama barabarani. Marekebisho hayo ni pamoja na kuongeza kiwango cha faini kwa...
1 Reactions
69 Replies
4K Views
Serikali imesema ipo katika mchakato kufanya maboresho ya sekta ndogo ya haki jinai nchini ili kuendana na kasi kubwa ya mabadiliko duniani yanayotokea katika nyanja mbalimbali. Waziri wa katiba...
2 Reactions
1 Replies
743 Views
Serikali ya awamu ya Tano Chini ya Uongozi wa Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa kushirikiana na Sekta binafsi inatekeleza mkakati mahsusi kwa ajili ya kuwajengea ujuzi nguvukazi ya Watanzania...
1 Reactions
3 Replies
732 Views
Ni miezi tangu homa ya Dengue ilipoingia lakini mpaka sasa hatuoni chochote kinachoendelea mitaani kwetu, uliliacha swala la Dengue ukarukia kwenye Ebola ambavyo haipo, kilichopo mbele yako ndicho...
5 Reactions
35 Replies
3K Views
Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro limewakamata tena Mwenyekiti bavicha taifa, Mhe Patric Olesosopi na Nafal Ngogo pamoja na dereva wao, wamekamatiwa Mgeta leo 24/6/2019 wakielekea Jimbo la Mlimba...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom