Kwa muda wa miaka sasa Ubalozi wetu Ujerumani umekuwa kama boma la mmasai kuanzia jengo na hata watumishi wake .Ubalozi huu ni mmoja kati ya Balozi kubwa lakini ukifika utadhani si Ubalozi wenye...
Jana nimemskia Mh. Zitto akijenga hoja kuwa wapo Watanzania wenye Dini na wasio na Dini.
Akaendelea kusema kuwa wanasiasa wengi wamekuwa na tabia ya kufungua hotuba zao kwa kusema Bwana asifiwe...
Ndugu zangu,
Leo Ni Tisa Disemba. Ni Siku yetu kuu kusheherekea Uhuru wetu. Tumetimiza miaka 55 ya uhuru. Tuna kila sababu za kusheherekea.
Nitapenda niweke hapa simulizi ya kihistoria yenye...
Yapo mengi sana ambayo yaliahidiwa na CCM na Mgombea wake ndg JPM katika kampeni za uraisi 2015, lakini cha ajabu ni kwamba yaliyoahidiwa hayatekelezwi.
Suala la Katiba mpya ni miongoni mwa ahadi...
Shabaha yetu ya kwanza ni kukamata madaraka ya nchi, huku shabaha ya ccm ni kudumisha madaraka waliyonayo. Hivi ndivyo siasa za karne ya 21 zilivyo. Chama kisicho na malengo ya kushika dola hicho...
Naibu Waziri wa Tamisemi, Mwita Waitara akijibu maswali katika kikao cha Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020, jijini Dodoma , alisema Ili kuondoa hali ya mkanganyiko katika jamii...
Kwa kipindi kifupi alichokaa madarakani Rais Magufuli ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujenga miundombinu ya Uchumi wa Nchi, ameweza kujenga na kuimarisha mifumo ya utendaji kazi na ameweza...
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Masauni amesema serikali iko katika hatua za mwisho za kurekebisha sheria ya usalama barabarani.
Marekebisho hayo ni pamoja na kuongeza kiwango cha faini kwa...
Serikali imesema ipo katika mchakato kufanya maboresho ya sekta ndogo ya haki jinai nchini ili kuendana na kasi kubwa ya mabadiliko duniani yanayotokea katika nyanja mbalimbali.
Waziri wa katiba...
Serikali ya awamu ya Tano Chini ya Uongozi wa Rais John Joseph Pombe Magufuli kwa kushirikiana na Sekta binafsi inatekeleza mkakati mahsusi kwa ajili ya kuwajengea ujuzi nguvukazi ya Watanzania...
Ni miezi tangu homa ya Dengue ilipoingia lakini mpaka sasa hatuoni chochote kinachoendelea mitaani kwetu, uliliacha swala la Dengue ukarukia kwenye Ebola ambavyo haipo, kilichopo mbele yako ndicho...
Jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro limewakamata tena Mwenyekiti bavicha taifa, Mhe Patric Olesosopi na Nafal Ngogo pamoja na dereva wao, wamekamatiwa Mgeta leo 24/6/2019 wakielekea Jimbo la Mlimba...
Katika kile tunachoweza kusema ni "vitisho" toka serikali kuu na CCM kwa Wabunge na Bunge letu, zoezi la kupigia kura bajeti ya Nchi 2019/2020 litaoneshwa live na television ya Taifa (TBC)...
*Mbunge wa jimbo la Singida Magharibi kwa kupitia chama cha mapinduzi Ndugu Elibariki Emmanuel Kingu Leo amepigana na mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika jimbo la Mfenesini Ndugu...
Leo waziri wa fedha anahitimisha hoja ya bajeti ya nne ya JPM kwa kujibu hoja za wabunge na kisha kupigiwa kura kwa kuita jina la mbunge mmojammoja.
Je, CCM watasema SIUNGI MKONO hoja? Je, hii...
Huyu katibu mwenezi wa ccm amekuwa na kauli nyingi zenye ukakasi, lakini mbaya na inayo tufikirisha kama wananchi hasa wa mkoa wa Kigoma ni hii ya kusema kuwa 2020 Zitto atafute Kazi ya kufanya na...
Ndugu zangu wana kijiji chetu cha tupendane naomba kuwauliza hii tabia iliyo jitokeza ya kila mtendaji wa kijiji chetu kila akipata muda wa kuhutubia wana kijiji au wageni utasikia hii serikali ya...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Ndugu Humphrey Polepole amemwambia Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe, akatafute kazi nyingine ya kufanya...
Nawaonea huruma moyoni wanaugua magonjwa ya moyo na pressure ya juu wakati mwingine huwa wanajifungia wenyewe chumban wanalia.
Hii inaitwa usiyempenda kaja hawakutegemea kama Magufuli alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.