Waziri Ummy acha siasa kwenye Dengue

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,736
22,343
Ni miezi tangu homa ya Dengue ilipoingia lakini mpaka sasa hatuoni chochote kinachoendelea mitaani kwetu, uliliacha swala la Dengue ukarukia kwenye Ebola ambavyo haipo, kilichopo mbele yako ndicho kinahitaji kuhudumiwa kabla ya kile unachokisikia kitakuja.

Wananchi tunahitaji usalama wetu hatuhitaji ndani katupa ofa ya kutibiwa kwani ni wajibu wa serikali kutokana na pesa tulizowekeza serikali ni kama kodi ili tuhudumiwe. Umetujuza aliyetupa ofa wanyonge! Lakini haukutupa uhakika kama yeye hawezi kuugua Dengue na endapo ataugua nani atampa ofa.

Waziri kupungua kwa homa hiyo hakutokani na jitihada za serikali kunatokana na madimbwi mengi kukauka.
 
Si alitangaza Mbu wa dengue wamekuwa sugu hawasikii dawa yoyote...hivyo hapo mtegemee kudra za Mungu kupona.
 
Niseme wazi moja ya wizara ambayo ni sensitive na ya kuwa makini nayo ni hii wizara ya afya kwa sababu ndio inabeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanakuwa na afya njema na hapo ndio tutaanza kuzungumzia uzalishaji na maendeleo pamoja na Uchumi hivyo haihitaji kuwa contaminated na siasa za hovyo....
Mimi binafsi najiuliza sana kwa nini waziri anakuwa muongo katika mambo ambayo ni very sensitive kama suala la homa ya dengue.....hivi kweli idadi ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa huu ni watu wanne?
Na so far nothing has been done....na pamoja na yote Mkuu na ukali wake wote kakaa kimya inasikitisha na kukatisha tamaa sana...ila hii nahisi ni kwa sababu halijawagusa...Ila Mungu yupo
 
Si alitangaza Mbu wa dengue wamekuwa sugu hawasikii dawa yoyote...hivyo hapo mtegemee kudra za Mungu kupona.
Kinachoendelea ni siasa zaidi kuliko utendaji, wiki tatu zilizopita tuliambiwa wameagiza pampu kwa ajili ya kunyunyuzia dawa, baada ya siku kidogo tukaoneshwa watu wakinyunyuzia dawa Jangwani lakini pampu zilizoonekana ni zile Jiji ambazo wanatumia miaka yote! Kauli mpya! ya jana ya Waziri ni ile aliyowahi kuitoa siku za nyuma! Isipokuwa alichoongeza ni shukurani za ofa tuliyopewa wanyonge! Ya kupimwa bure!
 
Kinachoendelea ni siasa zaidi kuliko utendaji, wiki tatu zilizopita tuliambiwa wameagiza pampu kwa ajili ya kunyunyuzia dawa, baada ya siku kidogo tukaoneshwa watu wakinyunyuzia dawa Jangwani lakini pampu zilizoonekana ni zile Jiji ambazo wanatumia miaka yote! Kauli mpya! ya jana ya Waziri ni ile aliyowahi kuitoa siku za nyuma! Isipokuwa alichoongeza ni shukurani za ofa tuliyopewa wanyonge! Ya kupimwa bure!
Hawajaguswa ukiona hivyo
Wangeguswa mama,baba,watoto,wajomba,bibi,babu zao
Wangekuwa serious kwenye issue hii

Ova
 
Ni miezi tangu homa ya Dengue ilipoingia lakini mpaka sasa hatuoni chochote kinachoendelea mitaani kwetu, uliliacha swala la Dengue ukarukia kwenye Ebola ambavyo haipo, kilichopo mbele yako ndicho kinahitaji kuhudumiwa kabla ya kile unachokisikia kitakuja.
Wananchi tunahitaji usalama wetu hatuhitaji ndani katupa ofa ya kutibiwa kwani ni wajibu wa serikali kutokana na pesa tulizowekeza serikali ni kama kodi ili tuhudumiwe. Umetujuza aliyetupa ofa wanyonge! Lakini haukutupa uhakika kama yeye hawezi kuugua Dengue na endapo ataugua nani atampa ofa.
Waziri kupungua kwa homa hiyo hakutokani na jitihada za serikali kunatokana na madimbwi mengi kukauka.

Huyu mdada simuelewi kabisaa,sjui ana nini hadi awepo hadi hiv sasa.Hana analofanya watu wanakifa bila aibu anasema wamekufa wanne, tarimba pekee kapoteza watoto wanne
 
yaani ukimcheki tu yule mama mdomo wake utagundua dhahiri kbs ni muongeaji sana kuliko mtekelezaji.
Kwa kifupi, ni mwanasiasa.

Kwani kuna Mtanzania asiye Mwanasiasa? Labda Mimi nimeelewa vibaya dhana au maana nzima ya neno Siasa kama nilivyojifunza na hata Kufundishwa.
 
Ni miezi tangu homa ya Dengue ilipoingia lakini mpaka sasa hatuoni chochote kinachoendelea mitaani kwetu, uliliacha swala la Dengue ukarukia kwenye Ebola ambavyo haipo, kilichopo mbele yako ndicho kinahitaji kuhudumiwa kabla ya kile unachokisikia kitakuja.
Wananchi tunahitaji usalama wetu hatuhitaji ndani katupa ofa ya kutibiwa kwani ni wajibu wa serikali kutokana na pesa tulizowekeza serikali ni kama kodi ili tuhudumiwe. Umetujuza aliyetupa ofa wanyonge! Lakini haukutupa uhakika kama yeye hawezi kuugua Dengue na endapo ataugua nani atampa ofa.
Waziri kupungua kwa homa hiyo hakutokani na jitihada za serikali kunatokana na madimbwi mengi kukauka.

Katika Maelezo yako haya kuna mahala umepatia kwa 100% na kwingineko umekosea kwa 100%. Hata hivyo Kiongozi nakukubali kwa ujengaji wako wa Hoja.
 
Niseme wazi moja ya wizara ambayo ni sensitive na ya kuwa makini nayo ni hii wizara ya afya kwa sababu ndio inabeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanakuwa na afya njema na hapo ndio tutaanza kuzungumzia uzalishaji na maendeleo pamoja na Uchumi hivyo haihitaji kuwa contaminated na siasa za hovyo....
Mimi binafsi najiuliza sana kwa nini waziri anakuwa muongo katika mambo ambayo ni very sensitive kama suala la homa ya dengue.....hivi kweli idadi ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa huu ni watu wanne?
Na so far nothing has been done....na pamoja na yote Mkuu na ukali wake wote kakaa kimya inasikitisha na kukatisha tamaa sana...ila hii nahisi ni kwa sababu halijawagusa...Ila Mungu yupo
Tulitangaziwa mzee Tarimba amepoteza wanae wawili na chuo kikuu DUCE kilipoteza mwanafunzi mmoja, jumla watu watatu na huyo mmoja wa nne! Inaelekea hajui idadi ya waliofariki.
Tuliambiwa mbu hao ni sugu bila ya kuambiwa utafiti ulifanyika wapi na nani.
Kuhusu pampu Jiji liliachiwa pampu kubwa zinazofungwa kwenye magari na magari ya mradi wa malaria ambao ulikufa baada ya wajapani kuukabidhi Jiji.
 
Katika Maelezo yako haya kuna mahala umepatia kwa 100% na kwingineko umekosea kwa 100%. Hata hivyo Kiongozi nakukubali kwa ujengaji wako wa Hoja.
Sema nilichokosea ili niweze kufafanua kwani taarifa tunapata sehemu tofauti, wakati Dengue inaanza niliwahi kuweka Posti nikishauri liwekwe deski kila wilaya Dar. kwa ajili ya kudhibiti Dengue na hivyo tungeweza kupata taarifa sahihi, sijui kama anaweza kukubaliana na idadi ya waliofariki kuwa ni wanne tu, yaani Tarimba wanae 2 na chuo kikuu DUCE mwanafunzi 1 na hospitali 1!
 
Kwani kuna Mtanzania asiye Mwanasiasa? Labda Mimi nimeelewa vibaya dhana au maana nzima ya neno Siasa kama nilivyojifunza na hata Kufundishwa.
Anaweza kuwa mwanasiasa na mtumishi wa Mungu lakini pande zote mbili ukazitofautisha wakati wa utendaji, mama mchungaji Lwakatare mbunge huwa hasalishi ndani ya bunge.
 
Nilisikia kuna Mzee wa sijui nini pesa amefiwa ndugu kupitia ugonjwa huu. Ni nani zake wawili wamefariki?.. inasikitisha
 
Ni miezi tangu homa ya Dengue ilipoingia lakini mpaka sasa hatuoni chochote kinachoendelea mitaani kwetu, uliliacha swala la Dengue ukarukia kwenye Ebola ambavyo haipo, kilichopo mbele yako ndicho kinahitaji kuhudumiwa kabla ya kile unachokisikia kitakuja.
Wananchi tunahitaji usalama wetu hatuhitaji ndani katupa ofa ya kutibiwa kwani ni wajibu wa serikali kutokana na pesa tulizowekeza serikali ni kama kodi ili tuhudumiwe. Umetujuza aliyetupa ofa wanyonge! Lakini haukutupa uhakika kama yeye hawezi kuugua Dengue na endapo ataugua nani atampa ofa.
Waziri kupungua kwa homa hiyo hakutokani na jitihada za serikali kunatokana na madimbwi mengi kukauka.
Mazingira ya Dar yanafanya mbu wazaliane. Huu ugonjwa hautaweza kuisha tena. Ndiyo umepiga kambi. Sana sana ''utalala'' kwa muda wakati ambao hakuna mvua. Ujengaji holela, drainage system za kimagumashi na zisizofanyiwa usafi na uchafu ndicho chanzo kikuu. Sioni hivi vitu vikiisha siku za karibuni. Kupanga ni kuchagua. Tulipanga kuwa wazembe na wachafu. Let us face the music!
 
Safishen mazingira yanayochochea Mbu wa Dengu sio kila kitu Serikali, kila siku kahama linazaliwa behewa la Wapiga kura , mkifa 10 wanazaliwa 50 kuna hasara gani
 
Back
Top Bottom